Yesu alisema, enyi kizazi cha nyoka.Je,alimaanisha nini?Umejuaje Kama adam nd aliemjaza Eva inawezekan ata nyoka nd alimjaza Eva alafa nyoka akaona noma akamwambia Eva akampe na Adam ili msala uwe wake yote hapo yawezekan
Usidanganyike kijana, Adam hajala tunda lolote, we fikiria hii....wao ndiyo walikuwa binadamu wa kwanza hapa duniani nobody else was there with them. Watu ambao walikuwa hawapo by then walijuwaje kama Adam alikula tunda? Hizi hadithi za Biblia na Qur'an msitilie maanani, ni kamba tu.Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.
Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?
Ufafanuzi wa kina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio kumbe yule mtoto anaweza kuwa ni wa shetani?Nyoka alimtafuna Eva,Eva akapata raha ,akadanganyika akaenda kumpa Adam ,Adam akala akaoga akala.Pale Ni lugha ya picha tu.Na baada ya kula tunda ndo Adam akamjaza Eva akazaa mtoto.
Kwaiy unataka maana iwe binadamu ni kizazi Cha nyoka au yesu alitumia taswiraYesu alisema,enyi kizazi cha nyoka.Je,alimaanisha nini?
Mbona mchungaji alitwambia ni parachichiNaskia Mastaferi
Tunda unalo waza ndio hilo tunda walilo kula.Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.
Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?
Ufafanuzi wa kina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana jamaa akawa mshua wetu sababu wanaitwa "kizazi cha nyoka"Umejuaje Kama adam nd aliemjaza Eva inawezekan ata nyoka nd alimjaza Eva alafa nyoka akaona noma akamwambia Eva akampe na Adam ili msala uwe wake yote hapo yawezekan
Yawezekana jamaa akawa mshua wetu sababu wanaitwa "kizazi cha nyoka"
Kiufupi hizo ni hadithi tu za kufikirika hazina mantiki zaidi ya kutufafanulia kwanini inabidi tusitendeane maovu.
Oral history imetumika hapo kijana wanguUsidanganyike kijana, Adam hajala tunda lolote, we fikiria hii....wao ndiyo walikuwa binadamu wa kwanza hapa duniani nobody else was there with them. Watu ambao walikuwa hawapo by then walijuwaje kama Adam alikula tunda? Hizi hadithi za Biblia na Qur'an msitilie maanani, ni kamba tu.