johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Mungu alimpa maagizo Adam kwamba matunda ya miti Yote aweza kula isipokuwa tunda la mti wa katikati na kwamba siku atakapoyala atakufa hakika
Shetani alimwambia Hawa siku mtakayokula matunda ya mti wa katikati mtafumbuliwa macho nanyi mtakuwa kama Mungu mkijua mema na mabaya
Hawa akamshawishi Adam wakala tunda na kujikuta wako uchi
Tafakari ni wapi Uzembe ulifanyika tukaanguka dhambini
Je, leo hii Nguvu ya sauti ya Hawa kwa Adam ni ile ile?
Sabato njema!
Shetani alimwambia Hawa siku mtakayokula matunda ya mti wa katikati mtafumbuliwa macho nanyi mtakuwa kama Mungu mkijua mema na mabaya
Hawa akamshawishi Adam wakala tunda na kujikuta wako uchi
Tafakari ni wapi Uzembe ulifanyika tukaanguka dhambini
Je, leo hii Nguvu ya sauti ya Hawa kwa Adam ni ile ile?
Sabato njema!