Tunda alilokula Adam ni tunda gani?

Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.

Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?

Ufafanuzi wa kina.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaah kwa huu ugumu wa maisha nahisi walitafuna pilipili kichaa aisee
 
Baada ya kula tunda akagundua yupo uchi! Nina wasiwasi na huyu shetani, huenda binadamu ni kizazi cha shetani. Kumbuka Eva alianza kula na shetani, kulikoni?
 
Utata unaanzia pale bibilia inaposema. Baada ya kula tu, wakajikuta wapo uchi.
Hiyo sentensi ndio inasababisha watu wafikiri kuwa walikuwa wanabomoana mipango.

Ila sioni sababu ya hivi vitabu visichukuliwe kama ni vitabu vingine vya historia.
Kwa mfano agono la kale lina nini zaidi ya kulezea mambo yaliyotokea wakati huo?
 
Those narratives are not about Romans. They are for anyone who seeks salvation
Mkuu karne ile ya utawala wa Roma Ulaya yote pamoja na Middle East (Mashariki ya Kati) watu walikuwa wanauana tu kama utani, kubakana, mtu mzima anafanya mapenzi na watoto (in the case of Mohammad kumpiga miti mtoto Aisha), kuibiana wapenzi, kufilana, kufanya mapenzi na wanyama ilikuwa ni kawaida yao isipokuwa huku Afrika tu tulikuwa hatuna huu ujinga. Hizi dini kama nilivyosema, ni usanii mtupu tu.
 
Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.

Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?

Ufafanuzi wa kina.
Kumbuka HAWA ndio alianza kula baada akampa na ADAM so tia akili yako kwenye.........

Kuhusu aina ya tunda Biblia haijasema ila sio UCHI maana aliambia ZAENI MKAONGEZEKE MKAIJAZE NCHI
 
Umejuaje Kama adam nd aliemjaza Eva inawezekan ata nyoka nd alimjaza Eva alafa nyoka akaona noma akamwambia Eva akampe na Adam ili msala uwe wake yote hapo yawezekan
Hiki ndio hasa kilichotokea!

Nyoka alimtia mimba Eva yani ibilisi alijua kuwa akimla mbususu Eva kitachotokea ni mimba ila kwa sababu ya janja yake hio alipoambiwa na Eva kuwa anaona hajielewi elewi mwili wake mara anajisikia kutapika akaambiwa kampe mbususu Adam nae agonge kisha yeye akakaa pembeni kusikilizia kali!

Hii nafikiri ndio definition ya kizazi cha nyoka sasa!

Adam kwa kuwa alikuwa ndezi alishawishiwa na Eva kwa kuwa mkuyenge wa snake ulikuwa mtamu akaambiwa amuonjeshe na Adamu nae ili wasikae kizembe bustanini pale 😅!!! Adamu alipokula mbususu akaona utamu wake dah ikawa ni kamchezo ka kutafunana mpaka siku sir God amegundua kimeumana wakajikuta wapo uchi!

We ulishawahi kula apple ukawa uchi? Apple na uchi vina uhusiano gani??? Jiongezeni acheni akili za ki Sunday school hizo!

Tunda ni mbususu hata mfiche vipi wajuba tulishajiongeza 😅!!!

Mungu baada ya kusikiliza story kuwa nyoka ndio alikata utepe akajua kabisa kibendi ni cha snake ila Adamu kaangushiwa jumba bovu tu. Pia alijua mbususu ndio chanzo cha mabalaa yote duniani! Wizi,Ufisadi, Uongo, Uzinzi, Familia yani kila kitu unachokijua duniani kilianzia kwenye utamu wa lile tobo!

Yani binadamu utawa control kwa kila kitu ila sio pale shimoni Mungu mwenyewe alinyoosha mikono akajua imeisha hiyoooo!!! Bora awaondoe bustanini tu wakatesekee duniani huko waka hasso kutafta kula na kulea familia ila sio bustanini kwake!

Theme ya kuwakataza nahisi alitaka wafunge ndoa kwanza!
 
Kumbuka HAWA ndio alianza kula baada akampa na ADAM so tia akili yako kwenye.........

Kuhusu aina ya tunda Biblia haijasema ila sio UCHI maana aliambia ZAENI MKAONGEZEKE MKAIJAZE NCHI
Kuzaa muongezeke hili lilikuja baada ya Hawa kuzingua! Zingatia mstari “wakajikuta wapo uchi!”

Sasa ma apple yanavua watu nguo? Mbona mie sijawahi kujikuta nipo uchi na ninayala mwaka wa 6 huu!
 
Kuzaa muongezeke hili lilikuja baada ya Hawa kuzingua! Zingatia mstari “wakajikuta wapo uchi!”

Sasa ma apple yanavua watu nguo? Mbona mie sijawahi kujikuta nipo uchi na ninayala mwaka wa 6 huu!
nyumbani

Soma

Mipango

Video

Mwanzo 1:28

Mwanzo 1:28 BHN

Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”



Hapa ni kabla hawajazingua
 
Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.

Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?

Ufafanuzi wa kina.
Swali zuri mno la teolojia.

Niamini ukiisoma biblia kwa mtindo huu wa maswali utafurahi. Maana udadisi huu ni mwanzo wa kufunguliwa maarifa mengi usiyoyajua.

Nikutakie heri nyingi kwenye safari yako hii ya kusaka maarifa ya kiroho.
 
Hiki ndio hasa kilichotokea!

Nyoka alimtia mimba Eva yani ibilisi alijua kuwa akimla mbususu Eva kitachotokea ni mimba ila kwa sababu ya janja yake hio alipoambiwa na Eva kuwa anaona hajielewi elewi mwili wake mara anajisikia kutapika akaambiwa kampe mbususu Adam nae agonge kisha yeye akakaa pembeni kusikilizia kali!

Hii nafikiri ndio definition ya kizazi cha nyoka sasa!

Adam kwa kuwa alikuwa ndezi alishawishiwa na Eva kwa kuwa mkuyenge wa snake ulikuwa mtamu akaambiwa amuonjeshe na Adamu nae ili wasikae kizembe bustanini pale 😅!!! Adamu alipokula mbususu akaona utamu wake dah ikawa ni kamchezo ka kutafunana mpaka siku sir God amegundua kimeumana wakajikuta wapo uchi!

We ulishawahi kula apple ukawa uchi? Apple na uchi vina uhusiano gani??? Jiongezeni acheni akili za ki Sunday school hizo!

Tunda ni mbususu hata mfiche vipi wajuba tulishajiongeza 😅!!!

Mungu baada ya kusikiliza story kuwa nyoka ndio alikata utepe akajua kabisa kibendi ni cha snake ila Adamu kaangushiwa jumba bovu tu. Pia alijua mbususu ndio chanzo cha mabalaa yote duniani! Wizi,Ufisadi, Uongo, Uzinzi, Familia yani kila kitu unachokijua duniani kilianzia kwenye utamu wa lile tobo!

Yani binadamu utawa control kwa kila kitu ila sio pale shimoni Mungu mwenyewe alinyoosha mikono akajua imeisha hiyoooo!!! Bora awaondoe bustanini tu wakatesekee duniani huko waka hasso kutafta kula na kulea familia ila sio bustanini kwake!

Theme ya kuwakataza nahisi alitaka wafunge ndoa kwanza!
Nimekuelewa Sana Mkuu
 
Alikuwa nyoka wa aina gani huyo?
Dhana ya nyoka ni shetani na alikuwepo enzi hizo nahis alikua anajua baadh ya Siri zilizowekwa baina ya tunda la Kati ( Kama nadharia ) ila yeye alijua ukweli kuhusu ilo
 
Hiki ndio hasa kilichotokea!

Nyoka alimtia mimba Eva yani ibilisi alijua kuwa akimla mbususu Eva kitachotokea ni mimba ila kwa sababu ya janja yake hio alipoambiwa na Eva kuwa anaona hajielewi elewi mwili wake mara anajisikia kutapika akaambiwa kampe mbususu Adam nae agonge kisha yeye akakaa pembeni kusikilizia kali!

Hii nafikiri ndio definition ya kizazi cha nyoka sasa!

Adam kwa kuwa alikuwa ndezi alishawishiwa na Eva kwa kuwa mkuyenge wa snake ulikuwa mtamu akaambiwa amuonjeshe na Adamu nae ili wasikae kizembe bustanini pale 😅!!! Adamu alipokula mbususu akaona utamu wake dah ikawa ni kamchezo ka kutafunana mpaka siku sir God amegundua kimeumana wakajikuta wapo uchi!

We ulishawahi kula apple ukawa uchi? Apple na uchi vina uhusiano gani??? Jiongezeni acheni akili za ki Sunday school hizo!

Tunda ni mbususu hata mfiche vipi wajuba tulishajiongeza 😅!!!

Mungu baada ya kusikiliza story kuwa nyoka ndio alikata utepe akajua kabisa kibendi ni cha snake ila Adamu kaangushiwa jumba bovu tu. Pia alijua mbususu ndio chanzo cha mabalaa yote duniani! Wizi,Ufisadi, Uongo, Uzinzi, Familia yani kila kitu unachokijua duniani kilianzia kwenye utamu wa lile tobo!

Yani binadamu utawa control kwa kila kitu ila sio pale shimoni Mungu mwenyewe alinyoosha mikono akajua imeisha hiyoooo!!! Bora awaondoe bustanini tu wakatesekee duniani huko waka hasso kutafta kula na kulea familia ila sio bustanini kwake!

Theme ya kuwakataza nahisi alitaka wafunge ndoa kwanza!

mujarabu kabisa kwenye hoja bila chenga
 
Wanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.

Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?

Ufafanuzi wa kina.
Kwani lazima ulijue? Labda hili hapa chini peasi

1634725964679.png
 
Tunda la UJUZI WA MEMA NA MABAYA

Mungu alikusudia binadamu aishi kwa KUFAHAMU MEMA tu na si mabaya

Kukaa uchi ni ubaya, kuvaa nguo ni jambo jema

Mtoto mdogo hajui kama nyoka ni kiumbe kibaya ndiyo maana unaweza kumkuta mtoto mdogo akicheza na nyoka na nyoka asimdhuru

Atakapokuwa mkubwa na KUFAHAMU nyoka ni kiumbe kibaya watakimbiana

Mungu hakutaka Adam na hawa wafahamu mambo mabaya na kujiona ni wahitaji wa chochote

NDIYO maana mtoto mdogo haujui ubaya na tunasema mtoto ni Malaika

Dhambi ya asili ya binadamu ni TAMAA

Alianza kujiona anahitaji vitu fulani na akaanza kutambua kukaa uchi ni jambo baya

Hata mtoto mdogo kukaa uchi siyo shida kwake mpaka atakapoanza KUFAHAMU kwamba kukaa uchi ni jambo baya ndiyo utamuona yupo bize kuvaa nguo

Tunda hilo au dhambi hiyo siyo tendo la ndoa wala mbususu

Kama Mungu hakutaka washiriki tendo la ndoa asingewaumba wawili wenye jinsia tofauti na alishawaruhusu wakazae, kuongezeka na kuijaza dunia
 
Back
Top Bottom