Msudu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2021
- 942
- 1,400
Hahahahaah kwa huu ugumu wa maisha nahisi walitafuna pilipili kichaa aiseeWanajukwaa kama kuna tafsiri zingine ambazo mpaka hii lewo, sijawai kuzielewa vizuri, Moja wapo ni hili la Adam kula tunda la mti wa katikati, tunda ambalo Mungu alimkataza Adam kuwa asilile.
Je hili tunda ni tunda gani? Je nikienda sokoni hii leo nitaweza kulinunua?
Ufafanuzi wa kina.
Sent using Jamii Forums mobile app