Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kuna na kiwanda cha kutengeneza viungo vya pilauNi viwanda si ndio maana jamaa amemuomba mh. Waziri au rais wake kuweka jiwe la msingi.?
Kuna na kiwanda cha kutengeneza viungo vya pilauNi viwanda si ndio maana jamaa amemuomba mh. Waziri au rais wake kuweka jiwe la msingi.?
Teeeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeeeeeehWazee wa Noah nyeusi wanaweza kua wanajua
Trump anakuja mkuu tuvute subiraTz ya viwanda haiwezekani, labda officially misukule igeuzwe nguvu kazi ya taifa, kinyume na hapo Mjerumani aje atutawale tena
Hivi ina maana huyu mwekezaji aliyemuomba waziri akamzindulie kiwanda chake amekosea?Hivi unadhani shati kutoka Indonesia linatengenezwa na kifaa gani?
Mkuu upo nchi gani, ukiwa na vyerehani vinne au karakana yoyote inayoajiri watu kuanzia 10 wewe ni mmiliki wa kiwandaKiwanda gani mkuu wakati hapo kuna vyerehani tu?Au umemaanisha kitu kingine?
Hajakosea mkuu yupo sahihi huyo ni bonge la muwekezaji tena kwa fedha za kigeniHivi ina maana huyu mwekezaji aliyemuomba waziri akamzindulie kiwanda chake amekosea?
Orh aise hebu tushauri mkuu, wee ndo upo nje ya nchi kabisa unajua mambo mengi
Eeeh unaona fursa gani bongo?
Kuna uwezekano huo maana huyu binti hana tofauti na shonza
Wewe ni wa kuonea huruma sio mzima kichwani.
Atakayekuoa kala hasara.
Bonge la waziriMkuu upo nchi gani, ukiwa na vyerehani vinne au karakana yoyote inayoajiri watu kuanzia 10 wewe ni mmiliki wa kiwanda
Waziri wa Viwanda, Charles Mwijage: Ukiwa na vyerehani vinne hicho ni Kiwanda kidogo
Tatizo huna akiliHa ha ha haaaaaaaaaaaa
Nakucheka mimi.
Ccm hoyeeeeeeeeeHuo ndo uelewa wa Mwijage unapo ishia
Kwani hukusikiliza hotuba ya waziri wa viwanda mkuu?Kiwanda gani mkuu wakati hapo kuna vyerehani tu?Au umemaanisha kitu kingine?