BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
mpaka nimekona kweli Bongo bahati mbayaMwenye namba ya waziri wa biashara anisaidie nimwalike jamani
Tuweke tanzania ya viwanda mbele
Hapa kazi tuuu
mpaka nimekona kweli Bongo bahati mbayaMwenye namba ya waziri wa biashara anisaidie nimwalike jamani
Tuweke tanzania ya viwanda mbele
Hapa kazi tuuu
Wewe kwanza ubadilike uwe na mawazo huru usitumike fuata ukweli kila unapouonaHizi fikra za wengi wenu zinasikitisha, badala muulizane kwanini amesema hayo mnapondea. Wengine mpo hata kutaka kujua kidogo, fikra haziwajii bali mnabaki kulalamika tuuuuuuuuuuuuuu kuwa maisha magumu.
Nchi hii kwa kweli wengi mnajitakia yanayo wakumba, umefika wakati muanze kubadilika kwa manufaa yenu na vizazi vyenu.
Wewe kwanza ubadilike uwe na mawazo huru usitumike fuata ukweli kila unapouona
Waziri ashasema ukishakuwa n'a charahani 5 ni tayari kiwandaWewe ndio unanitumia kunituma niandike humu au!? Nakuuliza kwa sababu umeyaandika wewe
Waziri ashasema ukishakuwa n'a charahani 5 ni tayari kiwanda
Ova
Mpigieni jmnMwenye namba ya waziri wa biashara anisaidie nimwalike jamani
Tuweke tanzania ya viwanda mbele
Hapa kazi tuuu
View attachment 512915