Tunawaalika kwenye ufunguzi wa kiwanda chetu kikubwa

Hizi fikra za wengi wenu zinasikitisha, badala muulizane kwanini amesema hayo mnapondea. Wengine mpo hata kutaka kujua kidogo, fikra haziwajii bali mnabaki kulalamika tuuuuuuuuuuuuuu kuwa maisha magumu.


Nchi hii kwa kweli wengi mnajitakia yanayo wakumba, umefika wakati muanze kubadilika kwa manufaa yenu na vizazi vyenu.
Vyerahani 4 hicho ni kiwanda....ndiyooooooooooooo
 
We sio Juliana shonza??

Hizi fikra za wengi wenu zinasikitisha, badala muulizane kwanini amesema hayo mnapondea. Wengine mpo hata kutaka kujua kidogo, fikra haziwajii bali mnabaki kulalamika tuuuuuuuuuuuuuu kuwa maisha magumu.


Nchi hii kwa kweli wengi mnajitakia yanayo wakumba, umefika wakati muanze kubadilika kwa manufaa yenu na vizazi vyenu.
 
Wewe ni wa kuonea huruma sio mzima kichwani.

Atakayekuoa kala hasara.

Hizi fikra za wengi wenu zinasikitisha, badala muulizane kwanini amesema hayo mnapondea. Wengine mpo hata kutaka kujua kidogo, fikra haziwajii bali mnabaki kulalamika tuuuuuuuuuuuuuu kuwa maisha magumu.


Nchi hii kwa kweli wengi mnajitakia yanayo wakumba, umefika wakati muanze kubadilika kwa manufaa yenu na vizazi vyenu.
 
Hizi fikra za wengi wenu zinasikitisha, badala muulizane kwanini amesema hayo mnapondea. Wengine mpo hata kutaka kujua kidogo, fikra haziwajii bali mnabaki kulalamika tuuuuuuuuuuuuuu kuwa maisha magumu.


Nchi hii kwa kweli wengi mnajitakia yanayo wakumba, umefika wakati muanze kubadilika kwa manufaa yenu na vizazi vyenu.
We hutaki kumiliki kiwanda?
Mwenye namba ya waziri wa biashara anisaidie nimwalike jamani
Tuweke tanzania ya viwanda mbele
Hapa kazi tuuu
 
Back
Top Bottom