Mnanifanya nacheka kama chizi nyie vijana jamaniHapo ziko 5 mkuu wee unaonaje kwa ukubwa huo, atakuja kizindua ee?
Waziri alisema mtu akiwa na vyerehani 4 hicho ni kiwanda sasa ndugu yetu hapa ana vyerehani 5, hicho nikiwanda kikubwa sanaKiwanda gani mkuu wakati hapo kuna vyerehani tu?Au umemaanisha kitu kingine?
Kujifanya unaakiri sasaHizi fikra za wengi wenu zinasikitisha, badala muulizane kwanini amesema hayo mnapondea. Wengine mpo hata kutaka kujua kidogo, fikra haziwajii bali mnabaki kulalamika tuuuuuuuuuuuuuu kuwa maisha magumu.
Nchi hii kwa kweli wengi mnajitakia yanayo wakumba, umefika wakati muanze kubadilika kwa manufaa yenu na vizazi vyenu.
Kumbe ndio maana imetolewa hahaaaaaaWote ndio walivyo hawana tofauti,juzi mwakyembee anasema serengeti boys imeandaliwa na serikali
Umeonaeeeee?Kumbe ndio maana imetolewa hahaaaaaa
Mkuu atokee frent fedHapo unatakiwa utokee Font fedi
We we utaendelea kuwa mawazo ya kijinga tu kama Id yakoHivi unadhani shati kutoka Indonesia linatengenezwa na kifaa gani?
Hichi kiingrish mkuuMkuu hicho ni kiswahili au kidhungu?
Watu kama hawa ndio mtaji mkubwa wa ccmWe we utaendelea kuwa mawazo ya kijinga tu kama Id yako
I wish I could be mudhunguuuHichi kiingrish mkuu
Ya kwenda wapi mkuu? Sisi tuko busy na viwanda vya vyerehaniDah tuna safari ndefu sana
Yaaani na inawakumbatia sana, kiukweli wanatuangusha sana.Watu kama hawa ndio mtaji mkubwa wa ccm
Watanzania tuna mtihani mgumu sanaMkuu atokee frent fed
Viko 5Oyy hizo cherehani zimetimia nne??? Hadi zitimie nne ndo zinakuwa vi-wonder.
Hiyo ndiyo kipaumbeleYaaani na inawakumbatia sana, kiukweli wanatuangusha sana.
Awamu hii inacho weza nikupambana na watu tu na kukandamiza watumishi wake
Baasi ni key-wounder, iten wazi-hillViko 5