binnystanzania
Member
- Mar 5, 2018
- 96
- 35
- Thread starter
- #21
Mambo hayo
Acha tu. Lililoniingia akilini kabla sijasoma maelezo anajua tu Muumba.Pochi zenye watoto![]()
Mpelekee Makonda.Ndio mkuu zina watoto wawili, watatu nyingine mpaka wanne
Sitaki kuonekana mzururaji
thanks mkuuhongera,nice idea.
Hauna vile vibebeo vya watoto wachanga?Hii ni sh elfu 45 tuu, karibuni
hapana mkuu sinaHauna vile vibebeo vya watoto wachanga?

ndio uwezo wangu mkuuPicha za ku download huwa zinaharibu sana biashara ,kwanini uendelee kutumia tecno wakati umeshaamua kufanya biashara kwenye social media
Sent using IPhone X