xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,287
Huo wizi uko wapi, mnabwabwaja na kuhororoja wakati hakuna mahali panapoonesha pameibiwa.
Mlitaka umeme wa bure?
Mwenyezi Mungu akurehemu bibi wewe. Ila kapime minyoo
Huo wizi uko wapi, mnabwabwaja na kuhororoja wakati hakuna mahali panapoonesha pameibiwa.
Mlitaka umeme wa bure?
Mwenyezi Mungu akurehemu bibi wewe. Ila kapime minyoo
Huo wizi uko wapi, mnabwabwaja na kuhororoja wakati hakuna mahali panapoonesha pameibiwa.
Mlitaka umeme wa bure?
kwani wewe msemaji wa serikali? lumumba inawaharibu xn hadi mnakuwa mazuzu eti
Duh! Yani bunge lote lililoisha ww hukuelewa chochote, ndo maana wanasema kunatofauti kati ya mjinga na mpumbavu!!, alafu picha yako kwa mbali naona kama mzuka, anafanya nn apoHuo wizi uko wapi, mnabwabwaja na kuhororoja wakati hakuna mahali panapoonesha pameibiwa.
Mlitaka umeme wa bure?
Mimi ni Mfafanyakazi wa stanbic. nikuwekee picha hapa uone tulivyobeba pesa kwenye viloba toka benki hii kwenda kulipia huo umeme?Wewe wacha porojo, fedha za IPTL zilikuwa zinapelkwa account ya escrow kuanzia mwaka 2004 na msimamizi wa shughuli hizo wakati wa mgogoro wa IPTL na TANESCO alikuwa ni RITA, sijuwi ni nini usichokielewa hapo?
Wewe msemaji wa PAC?
kwani mi nimezungumzia mambo ya PAC? wewe umekuja hapa jf unaikataa ripoti ya PAC kwa kusema kwamba pesa hazijaibwa, wakati ripoti ya takukuru, CAG na PAC zinaonyesha upotevu wa pesa za umma na ripoti zote 3 zipo ikulu hadi sasa na mkuu wa ikulu kanyamaza kimya wewe unaibuka na kusema hela hazijaibwa "who are you" na unaripoti kutoka lumumba haya twambie lumumba ndo ikulu ya hii nchi au mwenzetu uko karibu na raisi siri zote unazifahamu?
vijana wa lumumba mmeharibikiwa kabisa na sijui kama mtapona, so much adicted
Mimi ni Mfafanyakazi wa stanbic. nikuwekee picha hapa uone tulivyobeba pesa kwenye viloba toka benki hii kwenda kulipia huo umeme?
Duh! Yani bunge lote lililoisha ww hukuelewa chochote, ndo maana wanasema kunatofauti kati ya mjinga na mpumbavu!!, alafu picha yako kwa mbali naona kama mzuka, anafanya nn apo
Onesha huo wizi uko wapi? kwa ushahidi si kubwabwaja bila mpango.
Mimi si kijana, shika adabu yako, mimi mkubwa kuliko mama'ko.
Sasa wewe unaongelea ripoti bomu ya PAC hivi imekuingia akilini? ripoti ya CAG umeiona?
Lakini si umemsikia Mwigulu? Au.hujamsikia na au ulivyomsikia anaudanganya umma?Huo wizi uko wapi, mnabwabwaja na kuhororoja wakati hakuna mahali panapoonesha pameibiwa.
Mlitaka umeme wa bure?
Lakini si umemsikia Mwigulu? Au.hujamsikia na au ulivyomsikia anaudanganya umma?
Labda kila mmoja anayake ndani ya chama?
Mwigulu nimemsikia alisema bungeni walipokea fedha walipie kodi, sasa jiulize, fedha za haramu zinalipiwa kodi?
FF, siyo bungeni! Kwenye mkutano ulioonyeshwa ITV wa kule Karatu. Katumia WEZI wote wa Escrow hatua zitachukuliwa na kamwe wezi binafs hawawez kukipaka matope chama! Tena akauliza wananchi " Mwenyekiti wa serikali za mitaa ni Waziri wa Wizara ya nishat na madini"!
Nikakuuliza mbona munapishana kauli ndani ya chama? Tena wakati anayasema hayo alisema yeye ni moja ya top ndani ya CCM na hivyo wale wote waliohusika na Escrow hatua kali zitachukuluwa
Duh! sasa wewe unataka kuanzisha mengine, au ulikutwa na minyoo?
Mwigulu nimemsikia alisema bungeni waliopokea fedha walipie kodi, sasa jiulize, fedha za haramu zinalipiwa kodi?