Tunasimama na Hayati Dkt. Magufuli

Tunasimama na Hayati Dkt. Magufuli

Katiba imetusaidia kufuatilia fedha zetu zinavyotumika na tija yake kwa kutuwekea CAG, leo anaweka wazi kasoro za miradi ya kimkakati inayotumia matrilioni yetu tunasema hafai anatumika

AFRIKA TUMEROGWA?
Ushauri wako nn sasa
 
Kafanya lipi huyo mwizi, muuaji na fisadi zaidi ya maovu ya kutisha?
Mimi si wewe,mbona mzigo napiga Mimi wewe unatoa mihemko.


Wewe nenda muungane na wenzio mkasaini mikataba ya kujenga bandari ya bagamoyo.
Then aloanzisha JPM futeni kabisa
 
Naimani hata unachoandika hujui,yaani wajinga ninyi (Mataga & Praise team) hadi mtatueleza kwanini BLUE BAND ina rangi ya NJANO lakini inaitwa "BLUE" BAND, kifo + CAG = FULL MVURUGIKO.

SISI SIO WANYONGE.View attachment 1747487
Haaa haaaa.. Wajane hawaamini Gari la mkaaa limezima mazima na limetia hasara. Imeisha hiyooo.. 😂
 
Usitupangie la kufanya kaa utulie Mama yetu Rais anajua alitakalo. Awamu ya Meko imepita vumilia maumivu jipange kivingine.
 
Sisi tunamsikiliza CAG maana miluzi imekua mingi sana.
 
Miaka mitano ya kutokuwa na ripoti ya CAG yenge uhalisia acha vitu vimwage hadharani.
 
Wamesuburi mwamba ameondoka ndoa wanafukua....ila mwamba angeacha watu na vyombo vya habari wawe huru wasingekuwa wanaleta noma hivi
 
Report ya CAG imefunua madudu yaliyokuwa yamefichwa wala siyo kutafutana mchawi. Laiti "shujaa wa africa" angeruhusu haya mambo yawekwe wazi, tusingekuwa na la kuongelea. Ukweli lazima usemwe, kwa mfano tuliaminishwa ATC inatengeneza faida na imetoa gawiwo kwa serekali, kumbe ni kinyume.
 
Hizo njia za upigaji amezibana vipi wakati ripoti inaonesha hela kibao zimepigwa?
Zimepigwa zikaenda wapi, je ulifika chato alipokuwa anaishi mshua je unaweza kulinganisha hata tu na speaker?
 
Back
Top Bottom