Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,955
- 6,328
Boss, kama mkataba umesainia ni kwasababu JPM aliagiza hivyo baada ya issue ile ya nyanda za juu kusini kule nadhani. Hakuna uzalishaji wa umeme kutoka sekta binafsi zaidi ya SONGAS kwa sasa. Na kwa mkataba huo, unathibitisha nilichosema, HAKUNA KAMPUNI BINAFSI itakayoweza kuuza umeme, ila kuzalisha tu.Wakati mwengine nenda kwenye web ya Tanesco View attachment 1948497
Narudia tena, tatizo sio uzalishaji wa umeme, Tanesco inahitaji angalau iweze kugharamia inachozalisha na kuuza ili iweze kusonga mbele, huwezi kuzalisha na kununua umeme kwa gharama ya juu kisha ukawa na uhakika wa kuuza kwa gharama ya chini takribani mara mbili ya uhalisia kisha ukasema tatizo ni UZALISHAJI hivyo tukiongeza uzalishaji, tunatatua yaliyopo.