Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Sasaivi serikali imetunga sheria kwa makampuni yote ya mawasiliano kununua intanet kupitia mkongo wao wa Taifa (Ttcl),hapo wanunuaji ni hao Tigo,voda,airtel na halotel n.k lakini hapohapo hayo makampuni yanayonunua net ttcl yanapata faida na pia wanatoa ofa nyingi kwa wateja,lakini najiuliza inakuwaje kwa shirika lenyewe Ttcl kutopata faida na pia huduma zao kuwa dhaifu
Upigaji, Uzembe, Kutokuwa na Transparency na watu Kutokupewa Target (Results Oriented)..., Hii ni Culture / Utamaduni..., mazoea ya hovyo...

Hapo issue ni kubadilisha organisational culture na watu kubadilika ila tunapoelekea ajira zinaanza kuwa chache na wengine wengi wapo bench hali inaweza kubadilika, watu wataacha kuchezea kazi wakijua kwamba kupata kazi ni kazi.... Kipindi cha ukiharibu hapa unaamishiwa kule kitakwisha...

Kwahio in short kwenye haya mashirika ya UMMA we need transparency
 
Mnapotolea mfano wa mitandao ya simu napata mkanganyiko akilini!

Mitandao hiyo mnayoisema ndio hii inayotupa mabando kwa bei ya juu na kuruhusu matozo ya kila rangi kwenye miamala yetu ama ni ipi?!

Mitandao ya simu ambayo mpaka leo imefanya kupata wireless technology imekua kma starehe na ufahari wa Mali?
Ingekuwa ttcl peke yao wapo sokoni ungeona kila aina ya rangi ikiwemo ubovu wa huduma na kero nyinginezo
 
Chochote kilichobinafsishwa Kwa ufasaha kinafanya vizuri sana!!!...NBC,NMB,CRDB unajua kwanini umeme unaleta shida kila siku?.. Shirika hili la Tanesco halina mshindani ndio maana hata ufanisi ni sifuri!!!..Unajiuliza kwanini Taasisi kama hii ambayo ina vyuo vyake inashindwa kuwa na weledi kwenye kuhudumia wananchi?!!.. Tanesco lazima wabinafsishe tukitaka twende mbele lakini kama tutaendeleza huu utumbo hakika siku nchi itakua kiza yote na hakuna wakusema!!
Chanzo cha matatizo yote ni serikali, watu pekee waliotusaidia mpaka sasa kuwa hapa ni JPM na staff wa Tanesco. Tanesco haina hiyo dhambi unayojaribu kuielezea boss.
 
Chanzo cha matatizo yote ni serikali, watu pekee waliotusaidia mpaka sasa kuwa hapa ni JPM na staff wa Tanesco. Tanesco haina hiyo dhambi unayojaribu kuielezea boss.
Nilidhani tungekua hatulipii umeme kwenye mafuta ningekuelewa kidogo!!..Unajua huko vijijini ambapo hawana umeme wanalipia umeme?!!..Nani amefanya hii Mambo?
 
Tatizo kubwa la Tanzania ni incompetency, yule Prop former CAG alishaweka wazi....tunailamu CCM sawa lakini angle kubwa na muhimu yakuwalaumu ni poor education system inayozalisha graduates incompetency na kutengeneza watu ambao sio serious..
Tatizo lipo ila sio hilo mkuu. Hii nchi haijawahi kusaidiwa na wasomi na haitakaa isaidiwe na wasomi hawa wakikwetu.

Matatizo ya Tanesco, chanzo ni serikali yenyewe.
 
The one with best offer ni anapata wateja wengi. Kama kwa umeme itakuwa hivyo basi itakuwa sahihi! Japo pia naona they won’t stand a chance against private companies.
Boss, nakuhakikishia, tatizo la Tanesco sio uzalishaji wa umeme na HAKUNA KAMPUNI BINAFSI itakayofanikiwa kufanya biashara ya kuuza umeme, ni kuzalisha tu ndicho wanachoweza.
 
The one with best offer ni anapata wateja wengi. Kama kwa umeme itakuwa hivyo basi itakuwa sahihi! Japo pia naona they won’t stand a chance against private companies.
Boss, nakuhakikishia, tatizo la Tanesco sio uzalishaji wa umeme na HAKUNA KAMPUNI BINAFSI itakayofanikiwa kufanya biashara ya kuuza umeme, ni kuzalisha tu ndicho wanachoweza.
Mnajaribu kupaka Upepo rangi sijui kama mtaweza!!!
Toka hapo boss, haisaidii.
 
Sasa hivi bei imepungua kwasababu kuna uzalishaji mkubwa kutoka Sekta binafsi na kama shirika tukichua bei itapungua maradufu
Boss, weka namba za huo umeme unaozalishwa na sekta binafsi, na hizo sekta. Kinyume na hapo ni uongo tu, kampuni binafsi iliyokuwa imebaki ni SONGAS na yenyewe haizalishi zaidi ya 105MW, sasa katika uzalishaji wa zaidi ya 1500MW uliopo, sekta binafsi wanazalisha ngapi?
 
Tanesco wangempa mtanzania aendeshe,wapo watu wenye uwezo mzuri tu wa kuendesha tanesco,mfano Rostam,,njalu,hilary sudi,chambis,etc😁😁
 
Boss, weka namba za huo umeme unaozalishwa na sekta binafsi, na hizo sekta. Kinyume na hapo ni uongo tu, kampuni binafsi iliyokuwa imebaki ni SONGAS na yenyewe haizalishi zaidi ya 105MW, sasa katika uzalishaji wa zaidi ya 1500MW uliopo, sekta binafsi wanazalisha ngapi?
Wakati mwengine nenda kwenye web ya Tanesco
Screenshot_2021-09-22-16-17-42.jpg
 
Boss, weka namba za huo umeme unaozalishwa na sekta binafsi, na hizo sekta. Kinyume na hapo ni uongo tu, kampuni binafsi iliyokuwa imebaki ni SONGAS na yenyewe haizalishi zaidi ya 105MW, sasa katika uzalishaji wa zaidi ya 1500MW uliopo, sekta binafsi wanazalisha ngapi?
Mbona peramiho kuna mapadiri wanazalisha umeme na kuuza tanesco!?
 
Boss, nilidhani uko kujadili kwa dhati hii issue na pengine kujuzwa usiyoyajua, nikaamua kujadili na wewe, kumbe hauko nilikodhani uko. Poa poa
Wewe unadhani hakuna mtu kwenye sekta binafsi ndio nikasema Una mkumbuka Prof flani hapa alichosema!!..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom