Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Sio kweli mzee ,wazalishaji walikua wengi kama IPTL ,Aggreko symbion nk na bado Bei zilikua juu Tanesco aliuziwa umeme kwa bei za kitaahira wakati yeye aliuuza kwa hasara,
Wote tuliona tulivokua tunalipia adi Capacity Charges kwenye kila unit ya umeme tunayonunua mzee usilete siasa kwenye hili ata kama akitajwa JPM unasikia kichefuchefu naona kwako ni kutajwa kwake Ndio tatizo,it’s okay hata sie tulitofautiana nae mitazamo kwenye baadhi ya mambo ikiwemo Korosho,ila alipopatia tutasema ata kama ni ukweli mchungu!
Mfano alitoa umeme Gas Unit inauzwa sio chini ya tsh 140 ,wa mafuta unauzwa hadi tsh 400,hivyo hivyo kwenye vyanzo vingine kama upepo,nuclear nk ukilinganisha na umeme wa maji ambapo unit inauzwa kuanzia tsh 50/60
Sasa kwanini usipongeze kwa vyanzo kama Bwawa la Nyerere ,(Stieglers Gorge) ?

Umekomaa tu Tanesco ina madeni ya Toka sijui mwaka 1990 kwa iyo iuzwe!
Kwa iyo Tuuze hadi nchi eti tu sababu ina madeni ya toka mwaka 1970 !?

Una sahau kuwa madeni mengi ya Tanesco na nchi yetu ya natokana tu mikataba mibovu isiyo na tija Na usimamizi mbovu wa rasilimali zetu !?
Kwako wewe solutions ni kuuza ????
Mzee we don’t buy hizo sounds zenu No Thank You !
Rafiki yangu Mimi nasema tunaidai Tanesco wewe ukatae ukubali haitafuta Deni hili!!...
 
Sio kweli mzee ,wazalishaji walikua wengi kama IPTL ,Aggreko symbion nk na bado Bei zilikua juu Tanesco aliuziwa umeme kwa bei za kitaahira wakati yeye aliuuza kwa hasara,
Wote tuliona tulivokua tunalipia adi Capacity Charges kwenye kila unit ya umeme tunayonunua mzee usilete siasa kwenye hili ata kama akitajwa JPM unasikia kichefuchefu naona kwako ni kutajwa kwake Ndio tatizo,it’s okay hata sie tulitofautiana nae mitazamo kwenye baadhi ya mambo ikiwemo Korosho,ila alipopatia tutasema ata kama ni ukweli mchungu!
Mfano alitoa umeme Gas Unit inauzwa sio chini ya tsh 140 ,wa mafuta unauzwa hadi tsh 400,hivyo hivyo kwenye vyanzo vingine kama upepo,nuclear nk ukilinganisha na umeme wa maji ambapo unit inauzwa kuanzia tsh 50/60
Sasa kwanini usipongeze kwa vyanzo kama Bwawa la Nyerere ,(Stieglers Gorge) ?

Umekomaa tu Tanesco ina madeni ya Toka sijui mwaka 1990 kwa iyo iuzwe!
Kwa iyo Tuuze hadi nchi eti tu sababu ina madeni ya toka mwaka 1970 !?

Una sahau kuwa madeni mengi ya Tanesco na nchi yetu ya natokana tu mikataba mibovu isiyo na tija Na usimamizi mbovu wa rasilimali zetu !?
Kwako wewe solutions ni kuuza ????
Mzee we don’t buy hizo sounds zenu No Thank You !
Unaanza Kwa kusema hatudai alafu mwisho unasem a inadaiwa sasa ukiacha story za vijiweni na kuleta siasa chafu kwenye sekta hii utakubaliana na Mimi kwamba madeni hamlipi na huku mmepunguziwa bei ya umeme ili mpate Faida lakini bado mnamadeni makubwa hata miaka 20 ijayo bado hamtaweza kulipa labda mkubali Sekta binafsi ichukue shirika hili!!..
 
Sio kweli mzee ,wazalishaji walikua wengi kama IPTL ,Aggreko symbion nk na bado Bei zilikua juu Tanesco aliuziwa umeme kwa bei za kitaahira wakati yeye aliuuza kwa hasara,
Wote tuliona tulivokua tunalipia adi Capacity Charges kwenye kila unit ya umeme tunayonunua mzee usilete siasa kwenye hili ata kama akitajwa JPM unasikia kichefuchefu naona kwako ni kutajwa kwake Ndio tatizo,it’s okay hata sie tulitofautiana nae mitazamo kwenye baadhi ya mambo ikiwemo Korosho,ila alipopatia tutasema ata kama ni ukweli mchungu!
Mfano alitoa umeme Gas Unit inauzwa sio chini ya tsh 140 ,wa mafuta unauzwa hadi tsh 400,hivyo hivyo kwenye vyanzo vingine kama upepo,nuclear nk ukilinganisha na umeme wa maji ambapo unit inauzwa kuanzia tsh 50/60
Sasa kwanini usipongeze kwa vyanzo kama Bwawa la Nyerere ,(Stieglers Gorge) ?

Umekomaa tu Tanesco ina madeni ya Toka sijui mwaka 1990 kwa iyo iuzwe!
Kwa iyo Tuuze hadi nchi eti tu sababu ina madeni ya toka mwaka 1970 !?

Una sahau kuwa madeni mengi ya Tanesco na nchi yetu ya natokana tu mikataba mibovu isiyo na tija Na usimamizi mbovu wa rasilimali zetu !?
Kwako wewe solutions ni kuuza ????
Mzee we don’t buy hizo sounds zenu No Thank You !
Mnapenda kuweka siasa kwenye biashara za watu!!..Eti Tanesco sasa hivi hainunui umeme Kwa watu binafsi!!!..JPM aliweza kufanya Tanesco ijitegemee!!..Sijasikia JPM alilipa Madeni yote ya Tanesco!! Unajua kweli au propoganda ndio zimekumeza!!..
 
Mnapenda kuweka siasa kwenye biashara za watu!!..Eti Tanesco sasa hivi hainunui umeme Kwa watu binafsi!!!..JPM aliweza kufanya Tanesco ijitegemee!!..Sijasikia JPM alilipa Madeni yote ya Tanesco!! Unajua kweli au propoganda ndio zimekumeza!!..
Kwanza ujue biashara za watu ni siasa. Siasa haiepukiki ni mfumo wa maisha. Siasa ni uchumi kama hujui. Usitumie huo usemi tena eti siasa kwenye biashara zetu. Bila watu utafanya biashara wewe?
 
Kuna mashirika ya Serikali kutokana na wajibu wake ni kama idara za Serikali. Yanatakiwa yagharamikiwe na hazina kuu. Yanafanywa mashirika ili kuweza kudhibiti matumizi na kwamba iwepo tija.

Ukitaka kugeuza TANESCO liwe la kibiashara moja kwa moja kwanza utapata muwekezaji gani? Lazima awe wa nje na atakua na nguvu gani ya kisiasa nchini? Yeye atataka faida tu na umeme ndio roho ya uchumi wa nchi.

Sisi tunamlenga nani kuhusu maendeleo? Raia wa kawaida au wawekezaji kutoka nje? Lazima umeme utakua bei mbaya kwa raia wapiga kura na ndio mfarakano utaanzia hapo.

Hii mambo ya kubinafsisha sijui asili mia 20 TANESCO ni ile ile habari ya kubinafsisha TTCL. Wajanja wakawagawia wahindi hisa za TTCL kwa bei ya bure wakati Serikali ishawekeza mabilioni. Kisha wajanja kushirikiana na wahindi wakakwapua celltel kampuni ya TTCL ya simu za mikononi.

Ikawa wahindi wameshika jikoni TTCL wakikamua hela za umma kwa ruzuku za Serikali eti ni wabia wa TTCL. Magufuli akaja kuwafukuza wahindi na kuirejesha kampuni yake ya mkononi kwa kuhakikisha serikali inapewa hisa stahiki.

Sio kila anayejidai ana uthubutu ana uwezo au nia nzuri. Mashirika kama TANESCO au TTCL sio ya kuwekwa sokoni kama njuku.

Wanaoweza kuyaendesha kwa kufikia malengo yake kwa nchi kama Tanzania hakuna. Ni watanzania gani utawashawishi kuwekeza tanesco?

Hivi unaweza mshawishi mtu awekeze kwa gereza. Gereza linaweza kua mradi wa kibiashara? ..sina hakika wala sijaona. Lakini si lazima magereza yawepo? Kuna mambo lazima yawe jukumu la serikali. Ndio maana kuna kodi.

Tukikubaliana na uhuni huu wa january na zitto akijidai mpendekezaji wa hoja tunaona yale ya TTCL, TRC, na ule mradi wa umeme wa makaa kule Songwe mbeya uhuni ule wa simon group kuhusu uda na kwingine.

La kufanyika ni uongozi imara wa kisiasa usiyokua na mchezo kudhibiti mashirika makubwa ya umma kuhakikisha hakuna ubadhirifu na inakwepo tija.
Mashirika kama Tanesco, Maji, Viwanja vya Ndege na Mawasiliano wapewe Jeshi kuyaendesha kwa usalama wa Nchi na matokeo yataonekana, kule hamna siasa ni nidhamu tu na utekelezaji.
 
january na zitto ni madalali wanatakiwa wachunguzwe na takukuru kwa uhujumu uchumi
 
Wazo la kubinafsisha tanesco achilia mbali ttcl ni wazo zuri sana kwa mtu anaethnk po+ . Ni vzur kwakua kwasasa hio unayosema kunatija kuendeshwa chni ya serikali ni Big NO. Hapa tuangalie tuu namna nzuri ya ubinafsishaji, mwekezaji sio lazima atoke nje, pia tuweke mfumo mzur wa kudhibiti wizi, uhujumu wa shirika na mfumo mzur utakao mpa bei nafuu ya units mwananchi.
Wewe unahofu tuu kwa mfumo wa sasa wa uwekezaji kuwa tunaweza kupigwa,, YES tunaweza kuibiwa but best b4 investing tufanye tafiti na uchunguzi kutoka nchi zlizoruhusu mashirika binafsi yalivowekeza Kwenye umeme apa mabarozi wanahusika sana kama watajitambua.
My take: tanesco ibaki mmiliki wa sources of energy na muuzaji wa energy hio kwa mainvestors ambao wao watafanya kazi kubwa upande wa distribution.
Hapa tenda itolewe na pia serikali isimamie vigezo na tija katika kuwanufaisha watumiaji wa mwisho.
Waje watafute vianzo vyao wazalishe umeme wao na kuuza sio kutegemea kitonga kwa mserereko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom