gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,182
- 564
Hiyo mmetengeneza nyieAjabu na kweli ni kuwa ile copy and paste aka sare sare maua hiyo ina wakera mno hata wa kile chama chenyewe. Kukosa ujasiri tu wa kuikana.
Hiyo mmetengeneza nyieAjabu na kweli ni kuwa ile copy and paste aka sare sare maua hiyo ina wakera mno hata wa kile chama chenyewe. Kukosa ujasiri tu wa kuikana.
Mi sijakuelewa quotetion yako.
ila utakavyoelewa wewe ndo ivyoivyo bwashee.
Wanao uhuru wa kushangilia Mkuu na washangilie tu maana ukiona jimbo kama Kawe, Nyamagana au Kigamboni yanachukua siku mbili kutangaza mshindi ni kituko cha necMabibi na mabwana hayo ni maneno ya watu wenye hekima zao. Tushangilie kwa staha. Tusiwakere wengine.
View attachment 1615777
View attachment 1615778
Japo ka sare sare maua, lakini bado ushauri upo kuntu.
Tuzingatie.
Wanachama tunashangilia na tunatosha. Wafuasi hawatuhusu sana. Kwanza wafuasi huwa hawapigi kurawafuasi wa chama kilichoshinda hawashangilii mpaka wafuasi wa chama kilichoshindwa wanashangaa.
Wanao uhuru wa kushangilia Mkuu na washangilie tu maana ukiona jimbo kama Kawe, Nyamagana au Kigamboni yanachukua siku mbili kutangaza mshindi ni kituko cha nec
wafuasi wa chama kilichoshinda hawashangilii mpaka wafuasi wa chama kilichoshindwa wanashangaa.
Wanachama tunashangilia na tunatosha. Wafuasi hawatuhusu sana. Kwanza wafuasi huwa hawapigi kura
Aisee!
Chakubanga mbona yuko kimya sana au kastaafu uenezi au yko safu ya mbele kupanga na kuratibu matokei
Naona neno " kura" na "uchaguzi" hayaendi kwanjia ya sms
watuachie basi mbn walishashindaPia yako mengi mengine. Si waya list tu ili tusihangaike kutuma SMS zisizokwenda?
Wanajua tunajua hawakushinda bali wamekwiba. Hawana uhakika kama tutaridhia. Tunduma, kigoma, Pemba, newala kumesikika.watuachie basi mbn walishashinda
Wewe unalala nao hadi ujue kwamba hawashangilii?Wewe na bashiri au Hussein Mwinyi nani mwanachama kindaki ndaki zaidi? Hao hawashangilii.
Wewe unashangilia kimoyo moyo tokea pande za wapi?
Mabibi na mabwana hayo ni maneno ya watu wenye hekima zao. Tushangilie kwa staha. Tusiwakere wengine.
View attachment 1615777
View attachment 1615778
Japo ka sare sare maua, lakini bado ushauri upo kuntu.
Tuzingatie.