- Thread starter
- #41
Wewe unalala nao hadi ujue kwamba hawashangilii?
Wewe unalala nao kujua kuwa wanashangilia?
Kweli mburula ni mburula tu. Tumekusikia Mr. Delicious.
Wewe unalala nao hadi ujue kwamba hawashangilii?
Mie sikutaja mtu niliposema wanachama tumeshangilia. Wewe umetaja majina kabisa. Inaonyesha jinsi gani wewe na wenzio mlivyo na akili finyu. Hata kampeni zenu mlikuwa mnataja majina. Mtu mwenye akili timamu hawezi kutaja jina la mtu kama hana ushahidi.Wewe unalala nao kujua kuwa wanashangilia?
Kweli mburula ni mburula tu. Tumekusikia Mr. Delicious.
Mie sikutaja mtu niliposema wanachama tumeshangilia. Wewe umetaja majina kabisa. Inaonyesha jinsi gani wewe na wenzio mlivyo na akili finyu. Hata kampeni zenu mlikuwa mnataja majina. Mtu mwenye akili timamu hawezi kutaja jina la mtu kama hana ushahidi.
Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniMabibi na mabwana hayo ni maneno ya watu wenye hekima zao. Tushangilie kwa staha. Tusiwakere wengine.
View attachment 1615777
View attachment 1615778
Japo ka sare sare maua, lakini bado ushauri upo kuntu.
Tuzingatie.
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetaniWanachama tunashangilia na tunatosha. Wafuasi hawatuhusu sana. Kwanza wafuasi huwa hawapigi kura
Eti CCM bila Aibu bila huruma bila kumuogopa mungu wanashangilia ushindi batili wa uchakachuaji kuiba kura kwa njia haramu za kishetani