Nitawashangaa zaidi kama wataendelea kuwabeba na kuwagopa hao wezi wa kura, na hasa kwa upuuzi wao walio tufanyia ndani ya hizi siku tatu.Ila MODs msiwe kama wanaotuzuia kutumia SMS au mitandao ya kijamii.
Kumbukeni hata kuwafikia nyie JF imekuwa ni kwa hisani tu ya mabeberu.
Nitawashangaa zaidi kama wataendelea kuwabeba na kuwagopa hao wezi wa kura, na hasa kwa upuuzi wao walio tufanyia ndani ya hizi siku tatu.
Asante kwa ushauri.
Tulionya tukapuuzwa, Laana ya Dr. Slaa ni kali
Salamu nyingi wana jamvi. Mwaka 2015 wakati Dr Slaa anaondoka chadema, sisi wenye uwezo wa kuona mbali tulionya kwamba chadema imetema big g na kuchukua karanga za kuonjeshwa(Lowasa), Kama kawaida ya bavicha badala ya kujibiwa kwa hoja tukaishia kutukanwa. Ikumbukwe ndani ya ujenzi wa...www.jamiiforums.com
Tulionya tukapuuzwa, Laana ya Dr. Slaa ni kali
Akuna wizi wowote ni hakitupu imetendeka.Alisema mrugaruga mmoja, "kukwiba tumekwiba lakini kukiri, hatutakiri ng'o!"
Akuna wizi wowote ni hakitupu imetendeka.
Mi sijakuelewa quotetion yako.Si unajua hizi lugha za "akuna", "apana", "apa badala ya hapa" nk ni lugha za wale kina nanihii. Kama si mmoja wao hazikufai.
Nikweli.maana.mmhIla MODs msiwe kama wanaotuzuia kutumia SMS au mitandao ya kijamii.
Kumbukeni hata kuwafikia nyie JF imekuwa ni kwa hisani tu ya mabeberu.
Kwani kuna shida yeyote matokeo kufanana na jimbo lingine?
hamna kitu kigumu kama ku cook digits/numbers bora u cook love story/essay kitabu kizima, wale wa ma projects, data analysis, research mtakuwa mmenielewa hahahaha