Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,670
- 12,046
Hivi na wewe kumbe bado upogo?Yule mwenye Songoro Marine?
Hivi na wewe kumbe bado upogo?Yule mwenye Songoro Marine?
Huo ni umri wa risk kubwa ya magonjwa yasiyombukiza ndio yanapoanzia kwa hiyo sishangai hao watu kufa, ni nyakati zao tu hakuna lingine, Magu si huyu tumemzika, Kijazi, Mfugale n.k.
Salehe Songoro ni yupi au ni yule mwenye kampuni ya kuunda meli?Saleh Songoro pia gone
Upo sahihi! Mungu atusaidie kwakweliNdani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:
1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)
Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?
Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.
Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.
Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Zaburi 91
1 Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.
2 Nitasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.
3 Maana Yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji, Na katika tauni iharibuyo.
4 Kwa manyoya yake atakufunika, Chini ya mbawa zake utapata kimbilio; Uaminifu wake ni ngao na kigao.
5 Hutaogopa hofu ya usiku, Wala mshale urukao mchana,
6 Wala tauni ipitayo gizani, Wala uele uharibuo adhuhuri,
7 Ijapo watu elfu waanguka ubavuni pako. Naam, kumi elfu mkono wako wa kuume! Hata hivyo hautakukaribia wewe.
8 Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki.
9 Kwa kuwa Wewe BWANA ndiwe kimbilio langu; Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako.
10 Mabaya hayatakupata wewe, Wala tauni haitaikaribia hema yako.
11 Kwa kuwa atakuagizia malaika zake Wakulinde katika njia zako zote.
12 Mikononi mwao watakuchukua, Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.
13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwana-simba na joka utawaseta kwa miguu.
14 Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu.
15 Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;
16 Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonyesha wokovu wangu.
Hela hatuna na corona itunyanyase aah wapi wwe!!Makajamba nani kwenye Corona mabishi sana.
Huyo jamaa ni mjinga achana nae!Bastard. Usilete siasa hapa.
Kwamba unadhani sijapoteza ndugu kwa covid ama? Unaona kila mtu fata mkumbo ama? Nachokuambia ni.. ndugu yetu hajafa na covid, idiot.
Napingaje chanjo na nimeshapokea toka jumatatu? I am vaccined already. Na ikibidi nitaboost tena. Nina wiki 2 toka nikazike ndugu kwa maradhi hayohayo ya covid na misiba mingine tumekimbia maana haiishi we unaleta ujuaji? Hajafa na covid. Ameugua maradhi yake mengine. Na covid ipo. Mumepewa fursa kuanzia leo mkachome chanjo. Punguza makasiriko na stress
Kha 😹😹😹Hela hatuna na corona itunyanyase aah wapi wwe!!
alafu corona haipendi mtu aliyepigika mwenye akili ya kujiuwa uwa.....ina tabia ya kumkimbia
Kila nafsi ina nafasi sawa Kwa mola na duniani
Angetwaliwa baba yako mzazi nadhani list yako ingekuwa na watu wawiliMwaka huu nchi imepoteza mtu mmoja Tu wa maana naye ni JPJM aka Jiwe...!!
Nimecheka km mazuri....kwamba inaangalia mpunga kwanzaNilihisi hiki kirusi ni cha kike maana kinapenda wanaume, sasa nimegundua kinapenda wanaume wenye pesa.
Puuzi kabisa
Sumry amefariki??? Corona auNdani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:
1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)
Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?
Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.
Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.
Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
mzee Asas ndo huyo mmiliki wa Sasa au?? wenye taarifa he wekeni sawaNdani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:
1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)
Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?
Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.
Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.
Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Mkono mtupu haulambwiNimecheka km mazuri....kwamba inaangalia mpunga kwanza
huyo Charles alikua kiongozi?Inasikitisha sana.
Charles Keenja na mkewe walifariki 5 Aug. Pia si matajiri vibopa kama hawa.
Consistently siku 7, leo inclusive zimezingatiwa mtu wangu.
ni wa chuo gani?Prof Dr Massawe nae kavuta this morning kwa hio ndude.