FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,178
- 40,866
Ndani ya siku hizo hizo 7?Saleh Songoro pia gone
Ndani ya siku hizo hizo 7?Saleh Songoro pia gone
Itakuwa ni chumviHeh, keshavuta? Ila mbona inaonekana ni sukari?
Pole sana. Arrogant.Itakuwa ni chumvi
Kuna wengine wameharibikiwa akili kwa ajili ya dini wanadai chanjo si muhimu bali sala tu kanisani na misikitini ndiyo suluhisho....waafrika tunafeli wapi jamani, yaani tunashindwa hata kutumia common sense kwa hili? Si kila kitu ni sala, mbona chanjo za surua na magonjwa mengine hatukupinga au Mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:
1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)
Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?
Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.
Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.
Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Pole kwa msiba wa Dr Massawe. Tulisali wote pale mbezi beach machakani kabla hata lile kanisa halijajengwa.Lenyewe liko busy kuelezea misiba ya majirani zake mita 800 sijui miwili sijui 10 nami namwambia kitu hikohiko kwamba si pekee hata sisi ipo mpk tunaikimbia ila yeye hajaona tatizo ila ya wengine inawahusu nn. Mku*ndu kweli. Kujitia ujuaji tu. Kafa na covid kafa na covid as if ana death certificate. Vivulana vingine
Waliochanja, wamekuwa wakwanza kwenda kuandaa makaoKuna wengine wameharibikiwa akili kwa ajili ya dini wanadai chanjo si muhimu bali sala tu kanisani na misikitini ndiyo suluhisho....waafrika tunafeli wapi jamani, yaani tunashindwa hata kutumia common sense kwa hili? Si kila kitu ni sala, mbona chanjo za surua na magonjwa mengine hatukupinga au Mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?
Chanjo haikupi kinga papo hapo, inachukua at least 2 weeks kuwa effective.Watajwa wote hapo juu wamekufa wakiwa tayari wamechanjwa
Si kweli, nitakushitaki wewe Gwajima, shauri yako!Waliochanja, wamekuwa wakwanza kwenda kuandaa makao
Ongeza sauti, na wengine wanapepesuka na kuanguka kwenye mdahalo huku wahusika wakisainisha wanyonge fomu ya kujitoa ikiwa litawatokea la lenzi mbinukoWatajwa wote hapo juu wamekufa wakiwa tayari wamechanjwa
Kuna wengine wameharibikiwa akili kwa ajili ya dini wanadai chanjo si muhimu bali sala tu kanisani na misikitini ndiyo suluhisho....waafrika tunafeli wapi jamani, yaani tunashindwa hata kutumia common sense kwa hili? Si kila kitu ni sala, mbona chanjo za surua na magonjwa mengine hatukupinga au Mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?
Nchi nyingi za africa swala la mikusanyiko hawaangalii kabisa, hiyo sahahu.Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:
1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)
Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?
Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.
Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.
Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Nchi nyingi za africa swala la mikusanyiko hawaangalii kabisa, hiyo sahahu.
2 weeks virus vikikusubiria eti eehChanjo haikupi kinga papo hapo, inachukua at least 2 weeks kuwa effective.
Ndio inabidi uendelee kuchukua tahadhari, usidhani uko salama. Maana hata chango haikupi kinga kwa asilimia 100.2 weeks virus vikikusubiria eti eeh
I am a family too.Acha uongo. Unamsingiziaje mtu?
He is our family. Alikua anaumwa muda mrefu. Its not COVID.
I am a family too.
Nilitaka nikutukane waifu amenikataza !!!Mwaka huu nchi imepoteza mtu mmoja Tu wa maana naye ni JPJM aka Jiwe...!!
Leo tuko pamoja mtu wangu wa nguvu.
Hapo umemsahau Keenja na mkewe. Hapo Ar Uliwa wa Matchmaker anazikwa saa hii.
Huko dsm vifo havina hesabu.
Haya tuseme hawajachanja au hizo sindano za chanjo hazichemshwi vzr.
Mungu atuokoe tu.