Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:

1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)

Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?

Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.

Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.

Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Kuna wengine wameharibikiwa akili kwa ajili ya dini wanadai chanjo si muhimu bali sala tu kanisani na misikitini ndiyo suluhisho....waafrika tunafeli wapi jamani, yaani tunashindwa hata kutumia common sense kwa hili? Si kila kitu ni sala, mbona chanjo za surua na magonjwa mengine hatukupinga au Mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?
 
Lenyewe liko busy kuelezea misiba ya majirani zake mita 800 sijui miwili sijui 10 nami namwambia kitu hikohiko kwamba si pekee hata sisi ipo mpk tunaikimbia ila yeye hajaona tatizo ila ya wengine inawahusu nn. Mku*ndu kweli. Kujitia ujuaji tu. Kafa na covid kafa na covid as if ana death certificate. Vivulana vingine
Pole kwa msiba wa Dr Massawe. Tulisali wote pale mbezi beach machakani kabla hata lile kanisa halijajengwa.
 
Kuna wengine wameharibikiwa akili kwa ajili ya dini wanadai chanjo si muhimu bali sala tu kanisani na misikitini ndiyo suluhisho....waafrika tunafeli wapi jamani, yaani tunashindwa hata kutumia common sense kwa hili? Si kila kitu ni sala, mbona chanjo za surua na magonjwa mengine hatukupinga au Mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?
Waliochanja, wamekuwa wakwanza kwenda kuandaa makao
 
Kuna wengine wameharibikiwa akili kwa ajili ya dini wanadai chanjo si muhimu bali sala tu kanisani na misikitini ndiyo suluhisho....waafrika tunafeli wapi jamani, yaani tunashindwa hata kutumia common sense kwa hili? Si kila kitu ni sala, mbona chanjo za surua na magonjwa mengine hatukupinga au Mungu alikuwa hayupo kipindi hicho?

Mbaya zaidi rais aliyekuwa amiri jeshi wetu mkuu alikuwa mmoja wa wavurugikiwa hao. Aliyepo sasa akiwa kama makamu wake. Wapambe wao wako humu JF.

Busara yoyote ikitolewa wao hupagawa nyuso kuwawiva na kuwa mithili ya huyu:

IMG_20210812_203533_044.jpg


Tumelazimika kuwaita kilingeni wateme nyongo yaishe tuanze mwanzo mpya:

Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa
 
Ndani ya siku 7 vibopa hawa wa ukweli hatuko nao:

1. Hamoud Mohammed Sumry (aliyekuwa na mabasi ya Sumry)
2. Tonil Somaiya (Shivacom)
3. John Lamba (mwenye Traventine Hotel Dar es Salaam)
4. Mathias Manga (mwenye Gold Crest Hotel)
5. Mzee Asas (Mwenyekiti ASAS group)

Kina yakhe wangapi wameondoka kimya kimya?

Serikali iko kimya kipaumbele chake kusimamisha uchumi.

Mikusanyiko ya watu bila tahadhari iko pale pale.

Angalizo: Chanjo ya Corona si dawa ya kutibu Corona wala nyenzo pekee ya dhahabu itakayotuepusha na gonjwa hili.
Nchi nyingi za africa swala la mikusanyiko hawaangalii kabisa, hiyo sahahu.
 
Mchakato wa COVID-19 sasa uhamie kwenye cabinet.
Leo tuko pamoja mtu wangu wa nguvu.

Hapo umemsahau Keenja na mkewe. Hapo Ar Uliwa wa Matchmaker anazikwa saa hii.

Huko dsm vifo havina hesabu.

Haya tuseme hawajachanja au hizo sindano za chanjo hazichemshwi vzr.

Mungu atuokoe tu.
 
Back
Top Bottom