Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,502
- 113,610
Mkuu Fisi, ukiwa na fedha zako halali kwa kufanya biashara halali, uko huru kumpa yoyote kwa sababu yoyote au bila sababu yoyote na ukawa hujavunja sheria yoyote.Ruge alimpa Tibaijuka, Kilaini na wahaya matapeli wenzie. Maskini gani alipewa hapo?! Maweeeew mwafuwa muacheni tuu anyee debe Muhaya mjinga.
Kutukana watu humu jf bila kosa lolote kuwaita watu matapeli na wengine ni viongozi wetu wa dini, kumtukana mtu kuwa ni Mhaya mjinga sio kumtendea haki, sio kuwatendea haki Wahaya, unajisababishia mikosi na ma balaa ya karma bila kujijua.
Take time kujielimisha kuhusu escrow kwa ku soma nyuzi hizi
Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT Did The Right Thing! - JamiiForums
Wanabodi, Wakati taarifa ya uchunguzi ya PCCB na ile ya CAG kuhusu suala la IPTL, nimenote kumetokea too much sensationalism to dramatize ili ionekane its a very big deal!, na kwa vile escrow ilifunguliwa na BOT na fedha zilihifadhiwa BOT, na vivyo hivyo zilifunguliwa na BOT na kuchotwa kutoka...
www.jamiiforums.com
Escrow: Je, Watanzania ni ignorant au tumelogwa? Tuache cherry-picking kutafuta Mbuzi wa Kafara!
Wanabodi, Preamble Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena pale pale...
www.jamiiforums.com
Nimesikitishwa, huzunishwa na kufadhaishwa na uongo wa Kamati ya PAC! Escrow sio fedha za umma!
Wanabodi, Kwa waliosoma fasihi, kitabu cha "An Enemy of the People" by Henrik Ibsen mnaweza kuniita mimi Paskali kuwa ni "an enemy of the people!", Ibsen anasema, the strongest man on earth is the man who can stand alone!", hivyo na mimi, katika jambo ambalo nina uhakika nalo na ninaamini ni...
www.jamiiforums.com
P