Tunapomlilia Dr Mengi tusisahau kuwa tuna tajiri mwingine mwenye moyo wa kutoa mzee Rugemalira wa IPTL

Mkuu, Mzee Rugemalira hakuwahi kuwa IPTL. Unapotaka kuandika jambo humu kulimosheheni wajuzi, werevu na wabobezi uwe unatafiti angalau kidogo. Punguza roporopo hata kwa mambo usiyoyajua. Usipoandika humu JF hautadhurika na posho yako ipo kama kawaida. Pathetic!
Bwashee mbona unateseka sana?

Bush lawyer nielimishe basi....... hahahaa!
 
Mkuu, Mzee Rugemalira hakuwahi kuwa IPTL. Unapotaka kuandika jambo humu kulimosheheni wajuzi, werevu na wabobezi uwe unatafiti angalau kidogo. Punguza roporopo hata kwa mambo usiyoyajua. Usipoandika humu JF hautadhurika na posho yako ipo kama kawaida. Pathetic!
Hasipoandika posho haiingii mkuu ndio Mana wanajaza utumbo humu no Kama means of verification
 
Hii ni katika kukumbushana tu.
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
Asante kutukumbushia
Rugemalira tulimuombea na kumfungia Novena lakini haikusaidia kitu kwa sababu...
Pia ana nguvu.
P
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom