johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,515
Hii ni katika kukumbushana tu.
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ruge alitoa kwa matajiri na mabwanyenye , mengi alitoa na akawa mfereji kwa wanyonge na maskini.
Labda kwa vile Ruge hatangazwi!ruge alitoa kwa matajiri na mabwanyenye , mengi alitoa na akawa mfereji kwa wanyonge na maskini.
Bwashee mbona unateseka sana?Mkuu, Mzee Rugemalira hakuwahi kuwa IPTL. Unapotaka kuandika jambo humu kulimosheheni wajuzi, werevu na wabobezi uwe unatafiti angalau kidogo. Punguza roporopo hata kwa mambo usiyoyajua. Usipoandika humu JF hautadhurika na posho yako ipo kama kawaida. Pathetic!
Una uhakika?ruge alitoa kwa matajiri na mabwanyenye , mengi alitoa na akawa mfereji kwa wanyonge na maskini.
Watuu maarufu wote wapo ccm. RIP Mchagga boraHii ni katika kukumbushana tu.
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
mkuu sisi walaji wa habari mpaka iandikwe ita ngazwe ndio twaweza kusema , kama alikuwa nafanya kimya kimya tutajuaje? ila kwa vijisent na hela ya mboga na harusi tulijua!!Una uhakika?
Labda haumfahamu vzr
Mzee Rugemalila alikuwa anajenga hospital ya moyo bukoba?
Labda kwa vile Ruge hatangazwi!
Hasipoandika posho haiingii mkuu ndio Mana wanajaza utumbo humu no Kama means of verificationMkuu, Mzee Rugemalira hakuwahi kuwa IPTL. Unapotaka kuandika jambo humu kulimosheheni wajuzi, werevu na wabobezi uwe unatafiti angalau kidogo. Punguza roporopo hata kwa mambo usiyoyajua. Usipoandika humu JF hautadhurika na posho yako ipo kama kawaida. Pathetic!
Asante kutukumbushiaHii ni katika kukumbushana tu.
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
Hahahaa......... Bia za wajanja!Tangaza basi wewe alitoa wapi??? Au alitoa bia za bure kwenye promotion ya windhoek,
Alikutapeli nini?!Ruge tapeli?
Kodi yangu kwa kushirikiana na matapeli wenzie serikalini.Alikutapeli nini?!
Alitaka kujimilikisha heineken Massawe kamtoa ushuzi kakimbilia Windhoek msaada wake saana ni promotion ya bia.zaidi ni kwa ndg zake niwemugizi,tibaijuka na mzee wa vijisenti.Hahahaa......... Bia za wajanja!
Mzee Ruge anakusanya kodi?Kodi yangu kwa kushirikiana na matapeli wenzie serikalini.