Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,055
Ameshirikiana na wanaokusanya kodi. Ndio hao matapeli wenzie waliopo Serikalini.Mzee Ruge anakusanya kodi?
Mbona akili yako nzito hivyo?
Ameshirikiana na wanaokusanya kodi. Ndio hao matapeli wenzie waliopo Serikalini.Mzee Ruge anakusanya kodi?
Hahahaa........ pale TRA wamejazana akina Bwashee inawezekana hilo usemalo!Ameshirikiana na wanaokusanya kodi. Ndio hao matapeli wenzie waliopo Serikalini.
Mbona akili yako nzito hivyo?
Haya majitu sio ya kuyaonea huruma.. Acha yakomoane tu!Hahahaa........ pale TRA wamejazana akina Bwashee inawezekana hilo usemalo!
Umekosea sana.Mkuu, Mzee Rugemalira hakuwahi kuwa IPTL. Unapotaka kuandika jambo humu kulimosheheni wajuzi, werevu na wabobezi uwe unatafiti angalau kidogo. Punguza roporopo hata kwa mambo usiyoyajua. Usipoandika humu JF hautadhurika na posho yako ipo kama kawaida. Pathetic!
Well said.Umekosea sana.
Rejea VIP Engineering, IPTL na TANESCO.
Kwa taarifa yako Ruge ndio alisaini kwa niaba ya IPTL mkataba wa kuuziana umeme kati ya TANESCO na IPTL.
Ruge kaendesha kesi kadhaa kubwa kati ya IPTL na TANESCO kwenye arbitration ICSID.
Na Ruge ndie alimleta Singh (PAP) IPTL na ikapigwa pesa ya ESCROW.
Record ziko humu humu JF.
Ruge alikuwa wa kampuni ya VIP na si IPTL. VIP na IPTL walikutanishwa na Escrow.Umekosea sana.
Rejea VIP Engineering, IPTL na TANESCO.
Kwa taarifa yako Ruge ndio alisaini kwa niaba ya IPTL mkataba wa kuuziana umeme kati ya TANESCO na IPTL.
Ruge kaendesha kesi kadhaa kubwa kati ya IPTL na TANESCO kwenye arbitration ICSID.
Na Ruge ndie alimleta Singh (PAP) IPTL na ikapigwa pesa ya ESCROW.
Record ziko humu humu JF.
Ruge tapeli?
Hiyo alama ya kiulizo mwishoni ni swali au taarifa!!!???Una uhakika?
Labda haumfahamu vzr
Mzee Rugemalila alikuwa anajenga hospital ya moyo bukoba?
Soma ulichoandika then ufute uandike upya.Hasipoandika posho haiingii mkuu ndio Mana wanajaza utumbo humu no Kama means of verification
Massawe A.M?Alitaka kujimilikisha heineken Massawe kamtoa ushuzi kakimbilia Windhoek msaada wake saana ni promotion ya bia.zaidi ni kwa ndg zake niwemugizi,tibaijuka na mzee wa vijisenti.
No, massawe mwingine, ruge alisema yeye ndo sole importer na distributer wa heineken wakaenda mahakamani ruge kapigwa chini na faini juu.mbafu zake kakimbilia windihoekMassawe A.M?
Anapopata tajiri nawe maskini utapata kupitia mishahara na marupurupu katika makampun na miradi ya hao matajiri...Tajiri akikosa madhara yake ndo tunayoyaona sasa...uchumi unadorora,vijana wanapunguzwa makazini, ajira hakuna, mengine utaongeza mwenyeweruge alitoa kwa matajiri na mabwanyenye , mengi alitoa na akawa mfereji kwa wanyonge na maskini.
Kwa hiyo unataka na yy tumlilie?Hii ni katika kukumbushana tu.
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
Rugemalira mkabila yule. Huwezi linganisha na Mengi. Za Rugemalira walifaidi mkombozi bank,Tibaijuka,wahaya wenye majina wengi including mapadri.Hii ni katika kukumbushana tu.
Rip Dr Mengi
Be blessed mzee Rugemalira!
Wewe hawakukukumbuka?!Rugemalira mkabila yule. Huwezi linganisha na Mengi. Za Rugemalira walifaidi mkombozi bank,Tibaijuka,wahaya wenye majina wengi including mapadri.
Nyie wasukuma mkaona ni vibaya sana mhaya kuwa tajiri...kwakua huko nyuma mlikua wafanyakazi wao (wapakasi)Una uhakika?
Labda haumfahamu vzr
Mzee Rugemalila alikuwa anajenga hospital ya moyo bukoba?
Mimi siyo mhaya.Wewe hawakukukumbuka?!
Hahahaa........basi utakuwa mmachame!Mimi siyo mhaya.
Mie sio ngosha please.Nyie wasukuma mkaona ni vibaya sana mhaya kuwa tajiri...kwakua huko nyuma mlikua wafanyakazi wao (wapakasi)