Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,514
- 42,649
Wakuu natumai mu salama!!
Mwanzoni wa mwezi huu nimebahatika kuipata Samsung Galaxy S10 plus.
Nimepitia sites nyingi nimeona hii simu imekuwa top rated kwa ubora kwa 2019.
Lengo la uzi huu ni kutaka kupeana maujanja na uzoefu wa hii simu maana imekuwa na mambo mengi sana sana!
Karibuni S10 series users au mnaozijua.
Mwanzoni wa mwezi huu nimebahatika kuipata Samsung Galaxy S10 plus.
Nimepitia sites nyingi nimeona hii simu imekuwa top rated kwa ubora kwa 2019.
Lengo la uzi huu ni kutaka kupeana maujanja na uzoefu wa hii simu maana imekuwa na mambo mengi sana sana!
Karibuni S10 series users au mnaozijua.