kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Hiyo ofisi imekaa kama vile ofisi za uhamiaji KibahaWa vitengo maalumu tushawekewa asubuhi na mapemaaaa...
View attachment 1863275
View attachment 1863280
Eeh lazma kuna mtu kamchania mkekaKauzwa huyo!
Kama ulijua vile. Hiyo yote inaenda kuishia kwenye ujenzi.Naona umesha draw hela ya mafundi ukawalipe sasa sio ukae nazo bar uotewe na “wangunju”