LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,496
- 3,389
Nimefanikiwa kupita Mlandizi ila ni baada ya jitihada za kutanulia mashambani mwa watu. Tupo kama 3k kutoka Ruvu nako tumekwama kwa zaidi ya dk 20 now
We mtumwa wa mafisadi! Ukifika Moshi Kilimanjaro usiache kuja mpk Arusha tuje tukung'atue ktk jinamizi la utumwa kwa mafisadi inayokusumbua. Safari Njema!