Tunaoenda Moshi leo Tar 24

Tunaoenda Moshi leo Tar 24

Nimemiss kuona Maandhari ya Shambani Migomba kwa Wingi na Mikahawa Baridi la Asubuhi Mwendo Kuvaa Koti na Moaji ya Moto ya Kuoga unatengewa kwenye Karai Dah Miaka Miwili Ijayo Mungu Akijaalia Nitakuja... Wasalimieni Makaka na Madada... Majirani na Marafiki..

Sikukuu Njema
 
jaman nipo hapa karib na mlandiz kwenye folen cjui leo itakuwaje.
 
mimi baada kuona usafiri unasumbua nimearisha safari; nawapongeza mliofanikiwa kusafiri kwakweli: Mungu awalinde msafiri salama na muweze kusherekea vizuri sikukuu ya X-mas na familia zenu.
 
Utafika tu usiwe na haraka sikukuu ni Kesho kama vipi kodi Boda boda ukifika Himo nitamtuma Dogo aje akuchukue Usisahau Koti
 
Utafika tu usiwe na haraka sikukuu ni Kesho kama vipi kodi Boda boda ukifika Himo nitamtuma Dogo aje akuchukue Usisahau Koti
saaasa mbona mnanichanganya kama ni foleni inamaana mimi naondoka kesho na bus la kindo kya kombe nianze kutangulia kwa mguu mpaka ruvu darajani au maana ngachanganyikiwoo......!!!!! heriiiiiii
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaa

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

1.NASIKIA YESU ALIKUWA NI MCHAGA...

2. NASIKIA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGA.

3.NASIKIA wachaga wezi, wameiba mashirika ya umma, na kuyafilisi....... HATA RELI YAO WAMEUAAAA...

SHIMBONIIII
mungu awabariki na mfike salamaaaaa
 
Nipo hapa karibu na mkata kuna range imegongana na lori watu wawili na mmasai mmoja wamekufa papo hapo!
 
karibuni
huku kila nyumba unasikia sauti za mbuzi daaah mpaka nawahurumia
hapa nimeamka na mning'inio wa mbege balaa

nawatakia safari njema
sikukuu njema
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaa

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

1.NASIKIA YESU ALIKUWA NI MCHAGA...

2. NASIKIA CHADEMA NI CHAMA CHA WACHAGA.

3.NASIKIA wachaga wezi, wameiba mashirika ya umma, na kuyafilisi....... HATA RELI YAO WAMEUAAAA...

SHIMBONIIII
mungu awabariki na mfike salamaaaaa
Utani wa unaohusisha kashfa dhidi ya imani za watu wengine ni mbaya!!!!!!!!!!!!
 
Mkishafika njooni mjiandikishe hapa moshi mjini. Takwimu ni muhimu. Tunataka kujua walokuja kwa hali ya kawaida, wale walokumbwa na mafuriko, wale wanaokuja kukamata kwa nguvu na............. ongezea
Karubuni muchi bana
 
Tuko blocked karibu na Mlandizi. Kuna foleni ya kufa mtu. Hatujui kama ni Ajali au nini. Kuna foleni ya gari ndogo zaidi ya kilometa 2

Acha udwanzi nani kakwambia hizo gari destination yake ni Moshi? Dodoma, mbeya, Arusha, Morogoro hakuna magari?
 
Mkishafika njooni mjiandikishe hapa moshi mjini. Takwimu ni muhimu. Tunataka kujua walokuja kwa hali ya kawaida, wale walokumbwa na mafuriko, wale wanaokuja kukamata kwa nguvu na............. ongezea
Karubuni muchi bana

Hivi hata enzi hizi za ukimwi bado wanafanya mchezo uleeeeeee. Ule mchezo ulikuwa poa sana.
 
we unabisha???/!!??

YESU Wajomba zake wanaishi KISHUMUNDUU, dada mkubwa yuko palee,NYUMBA YA MUNGU......

Acha upumbavu wewe unadhani Yesu ni mjomba wako wa kutania? Ole wako usipotubu na kuokoka moto unakusubiri
 
we unabisha???/!!??

YESU Wajomba zake wanaishi KISHUMUNDUU, dada mkubwa yuko palee,NYUMBA YA MUNGU......

Unakera kukufuru imani yetu. Its all right wewe kufuru tani yako hadi utapochoka! Hatuna mafundamentalists sisi so jimwage utakavyo
 
Back
Top Bottom