Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
- Thread starter
- #41
Tutashukuru vipi wakati inflation ni double digit almost 20%?!
Hivi mara ya mwisho inflation kuwa 20% ilikuwa lini? anybody...
Tutashukuru vipi wakati inflation ni double digit almost 20%?!
Tutashukuru vipi wakati inflation ni double digit almost 20%?!
Hivi mara ya mwisho inflation kuwa 20% ilikuwa lini? anybody...
JK anajitahidi kuonyesha ni
mtedaji kwa kulilia huruma ya wanatanzania , lakinin ana msogno mkubwa
wa mawazo .. anaogopa kivuli chake , anahukumiwa na matendo yake na hata
utawala wake umemshinda
anaruhusu kushangaa kwa wageni na wenyeji.Labda tujiulize swali la ugomvi zaidi - ni uongozi gani ambao Kikwete anapatia taifa kiasi kwamba anafanya mambo mengi mazuri lakini analaumiwa zaidi?
Mheshimiwa huyu alipanga kuingia Ikulu kama sifa, kiuhakika hakuwa na 'vision' au agenda kuwa anataka kulifanyia nini taifa akienda ikulu. Matokeo yake anfanya kazi kwa kufuata mongozo wa wanamtandao waliomwingiza madarakani! Kwakuwa waliomuingiza madarakani lengo lao lilikuwa kujilimbikizia ukwasi kwa njia yoyote, basi wanafanya hivyo bila wasiwasi kwani tayari wanaye mlinzi wa uhakika. Mfumo mbaya wa kuongoza nchi ameutayarisha Kikwete mwenyewe kwa kuwakumbatia wahuni wake! angalia nafasi mbalimbali za uteuzi alizozifanya uone kama kuna anayemudu nafasi hizo.
- Kwa mtizamo wangu ni mtu aliyelemewa na wasaidizi wazembe na waongo wanaomdanganya na wasiopendana wao kwa wao na ni wanafiki.
- Moyo wa kuwatumikia watanzania anao ila vikwazo ktk mfumo inaonekana vimemshinda haswa ukizingatia mavuguvugu mengi (mfano kipindi kile wanataka wamuondoe kwenye uenyekiti wa taifa wa CCM) mpaka sasa anaiogopa sana CCM!
- Uongozi wake unatia shaka.
- Machoni pa watanzania walio wanyonge anaonekana ni msaliti.
kweli. inaelekea anapata faraja akiwa nje ya nchi kuliko hapa. ndiyo maana anachukua kila fursa kwenda nje.
no wonder unadiriki kusema kikwete ni rais bora kuliko wote maana matatizo yaliyotokea kwa viongozi wa awamu zilizopita unaona ni matatizo lakini matatizo yanayotokea kwenye awamu ya kikwete unaona ni window of opportunity...!Tatizo sio ilikuwa lini, tatizo unachukuwa advantage ipi kwa hiyo inflation kupanda? kama hujui mbinu na kuchukuwa advantage ya hilo, kaa kimya, wacha niuze mikaratusi yangu nje kwa haraka, kabla inflation haijashuka!
- Kwa mtizamo wangu ni mtu aliyelemewa na wasaidizi wazembe na waongo wanaomdanganya na wasiopendana wao kwa wao na ni wanafiki.
- Moyo wa kuwatumikia watanzania anao ila vikwazo ktk mfumo inaonekana vimemshinda haswa ukizingatia mavuguvugu mengi (mfano kipindi kile wanataka wamuondoe kwenye uenyekiti wa taifa wa CCM) mpaka sasa anaiogopa sana CCM!
- Uongozi wake unatia shaka.
- Machoni pa watanzania walio wanyonge anaonekana ni msaliti.
Hivi mara ya mwisho inflation kuwa 20% ilikuwa lini? anybody...
He wanted the job. He campaigned for it. And he "got" it.
Blame and praise come with it.
He should just suck it up and let history and posterity be his judge.
Hotuba zake tatu za hivi karibuni zimejaa manung'uniko na malalamiko ya mtu ambaye haeleweki, hapendwi, hasifiwi au ambaye hashukuriwi. Hotuba yake kwa wazee wa CCM wa Dar-es-Salaam baada ya mgogoro wa madaktari na hotuba yake ya Mei Mosi mbele ya wafanyakazi kule Tanga zinatuonesha hisia za mtu ambaye wananchi wake inaonekana hawamshukuru vya kutosha.
Kumbe mpo wengi msio na shukrani na msiotambua mambo bwelele ambayo Kikwete kawafanyia. Jamani karudisha 'chenji ya rada' hamshukuru?
Mkuu, naona umeamua kutukejeli au kumukejeli mhusika! mie nilidhani kwa mazingira ya chenji ya rada serikali ya huyu ustaadhi ilitakiwa iwashughurikie kikamilifu wahusika wa sakata zima na sio vinginevyo!Kumbe mpo wengi msio na shukrani na msiotambua mambo bwelele ambayo Kikwete kawafanyia. Jamani karudisha 'chenji ya rada' hamshukuru?