Sometimes kiongozi anavunja katiba Kwa Benefits za watu wengi so hakuna shida.
HAPA NA..!!
Sheria hutenguliwa kwa sheria nyingine...
Kwa hili hakukuwa kwa
national interests bali ilikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka ya u - Urais kwa Magufuli..
And by all means elewa kubwa ni
KOSA LA UHAINI kwa kiongozi yeyote awe Rais au Waziri ama nani kuvunja na kukiuka kiapo cha kuilinda katiba ya nchi..!!
Sidhan kama magu alimtoa bila kosa, lazima kulikuwa na makosa..
It doesn't matter alikuwa na kosa gani. Katiba imetanabaisha clearly namna ya kumwondoa ktk cheo cha kikatiba kiongozi yeyote..
Vyeo vya kikatiba ni kama Rais mwenyewe, CAG, PM, Majaji wa mahakama kuu & rufaa nk nk..
Hawa wamewekewa utaratibu maalumu namna ya kuwaondoa ktk nafasi zao iwapo imelazimika kwa sababu ya makosa mbalimbali..
Mathalani Rais utaratibu wake ni kupitia Bunge kupiga kura ya kutokuwa na imani maarufu kwa kiingereza kama
impeachment...
Ni kosa la uhaini kutaka kumwondoa Rais nje ya utaratibu huu. Rais Magufuli naye alifanya kosa kumwondoa CAG Assad bila kufuata utaratibu wa kikatiba hata kama kwa mtazamo wake aliona kosa kwake...
And possibly yangegharimu uongozi wake and sio kila kitu cha kutolea maelezo Kwa wanainchi
Kosa la CAG Assad ni kuhoji uhamishaji wa fedha za umma kwenda kusikojulikana usiozingatia utaratibu wa kibajeti eti tu kwa sababu Rais kataka....
We don't go that way...!
Na hii ilitokea kwenye zile 1.5trn. Hili lilimchanganya sana John P. Magufuli akawa kama mwehu wa kuuliza hadharani "eti wewe fulani hujui ziliko 1.5trn...??"
Loooh..!! Hiyo ilikuwa kali kwelikweli. Mwisho wa siku jibu likawa, ASITUZINGUE HUYU, TUMTUPE NJE NA TUWEKE MTU WETU TU...!