Tunaitaka Tanganyika yetu! Wakati ni huu...

usawa na haki hautasimama katika Nchi hii ispokuwa ni mpaka Tanganyika irudi tena!! Ni Tanganyika kwanza halafu mengine yafuate! Welcome back my lovely country Tanganyika!!!!!!

Bravo!
 
Ndio sifa ya historia kukukumbusha wapi umetoka upo wapi na pia kuweza kukupa mwelekeo wapi unaweza kuelekea. SIPENDI NENO TANZANIA BARA. Liondoke kabisa kwenye katiba. mnapenda kuwaabudu wazungu mbona wao wanatunza asili yao

Mimi pia sipendi Tanzania Bara. I am in love with Tanganyika. Hiyo ndiyo historia yetu. Tanganyika ndiyo ilipata uhuru 1961.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
hiyo tanganyika uliiona wapi?

nini asili ya neno tanganyika?

kwa nini ujivunie jina ulilopewa na wakoloni na kudhararu jina ulilopewa na baba zako?

je huamini kuwa dunia ni moja? au kuwa afrika ni moja?

ukitaka kuvunja muungano wa Tanzania na kurudi kwenye mipaka ya carl peters, na wewe tukuite mzalendo?

jamani, dunia na vyote viitazavyo ni mali ya Bwana, hakuna wazanzibari wala wazanzibara, watanganyika wala watanga na nyika, sote tu mali ya Bwana na alitupaa dunia iwe makazi yetu kuanzia alaska mpaka siberia, cape town mpaka ireland. mipaka yote ni man-made tu.

TUKISHINDWA KUIJENGA TANZANIA, HATA TANGANYIKA ITATUSHINDA
. mark carefully my words

ubarikiwe
Hiv kwann mkisikia Jina Tanganyika mnakimbilia kusema oooooh...hilo jina la Wakoloni.
Hebu jiulize.. jina Tanzania limetokea wap...limekuwa Derived from where?????,,,
Kama Limekuwa Derived from Tanganyika na Zanzibar then why unatoa Povu ukisikia Tanganyika????
We unajua maana ya Zanzibar Mpaka kustahili kutumika ku derive jina la Nchi yetu.
Acha kujenga hoja thru Masaburi...
 
Kwa nini tumeng'ang'ana na Tanzania Bara badala ya Tanganyika? Tanzania Visiwani mbona hatuisikii?
 
Ok. there is something wrong with Mr. Lowasa, but there is something behind his political situation. He is not the most corrupt person in this country. There are others, why Lowasa and not Samwel Sitta who sold Loliondo Game reserve to Arabs. I think there is a political trick in the issues behind mr. Lowasa. Please in need your comment.
With all respect, Please generalize sold to Arabs be prsicly.to UAE bcoz these sheikhdoms aren't representing all Arabs (thers22 arab nationals and majority are in African continent) if the Emarities lease by legal contracts it is called investment. the serikali is responsible.
 
Mnazipinga fikra za zidumu fikra za mwenyekiti wazi wazi,kweli watanganyika wa leo c wa miaka ya 64.
 
Kwa nini tumeng'ang'ana na Tanzania Bara badala ya Tanganyika? Tanzania Visiwani mbona hatuisikii?
Ni kweli mkuu, lazima tuwe na kuitambulisha Tanganyika. Nasi tujivunie Tanganyika badala ya kila siku kusikia tambo za Zanzibar tu. We must proud of our Tanganyika statehood.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mnazipinga fikra za zidumu fikra za mwenyekiti wazi wazi,kweli watanganyika wa leo c wa miaka ya 64.
Mkuu,
Si kwamba tunazipinga fikra za baba wa taifa, bali kwa tulipofikia leo yapasa Tanganyika iwepo.
Heshima kuu kwa J.K.Nyerere
 
Tuimbe wote sasa,...Tanganyikax2...nakupenda kwa moyo wote!
Nchi yangu Tanganyika,jina lako ni tamu sana,nilalapo nakuota wewe!
niamkapo ni heri Mama weee,....
 
Tuimbe wote sasa,...Tanganyikax2...nakupenda kwa moyo wote!
Nchi yangu Tanganyika,jina lako ni tamu sana,nilalapo nakuota wewe!
niamkapo ni heri Mama weee,....

Ha ha haaaaa!
Swaafi sana mkuu na Tanganyika yetu.
 
kaeni tuu msidai tanganyika yenu.. tutawatuma kinoma.. zanzibar tuko kama 2 mills hivi lakini tunawaburuza watu milioni arubaini...dahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh. yaani sisi tumepoa soon tunajichimbia mimafuta kimpango wetu than ya kwenu tunakula kama kawaida.. tulieni tuu mtaendelea kutufanyia makazi sisi zanzibar tunakula.. katiba inayokuja inaweka wazi namna gani tunakula vya kwetu na vya kwenu kama kawaida sio.. daeni chnu nyinyi watanganyika haraka kabisa la si hivyo kunatafuta vyote.. zazibar kidogo lakini smart kabisa...huku kwetu hapewi mtu kitu but kwenu tunajibebea tuu ma ardhi hayo... dahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh amka jirani yangu mtanganyika amkaaaaaaaaaaaaaaa...

Kijana una jeuri eeh!!?lakini umewahi kujaribu kuongeza kikombe kilichojaa maji kwenye ndoo iliyojazwa maji nusu?kiukweli hata mje wazanzibar wote Tanganyika hakuna effect yoyote watanganyika wanaweza kupata.Hujajiuliza kwanini Kuna sheria kali za watanganyika kumiliki ardhi zenj? ni kwa sababu wakija idadi ya watanganyika wa M'nyamala tu pale zenj bac hapatakalika.Tunaendelea kuwakaribisha Tanganyika ili msaidie kupeperusha maendeleo ya nchi yetu TANGANYIKA na mkiendelea kukifanya kisiwa chenu pango la WALIBERAL!
 
Huyo mdosi anaitwa Mohamed Iqbal Dar

TAN toka Tanganyika; ZAN toka Zanzibar; I toka jina la mtunga jina Iqbar; A toka kwa dhehebu la mtunga/mtoa jina Ahamadia. Unapotaja TANZANIA hujui kilichofichika ndani yake. Ahsante MUNGU kwa majira na nyakati hizi, our motherland Tanganyika is being resurrected!
 
Tunataka rikali yetu ya tanmganyika. Kwa nini tume inaficha historia yetu? Kimsingi muungano ni wa nchi mbili zanzibar na taganyika na wala si zanzibar na tanzania bara.We want our tanganyika back!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kweli mimi pia ni mshabiki wa Tanganyika na sijui ni kitu gani kinafichwa mpaka tume haikulitaja kabisa jina la Tanganyika!

Sababu yangu kuu ya kulishabikia jina la Tanganyika:
-Uhuru ulipiganiwa na kupatikana kwa jina la Tanganyika.
-Jina linabeba "spirit" ya kupigania Uhuru na ukombozi.
 
Kweli mimi pia ni mshabiki wa Tanganyika na sijui ni kitu gani kinafichwa mpaka tume haikulitaja kabisa jina la Tanganyika!

Sababu yangu kuu ya kulishabikia jina la Tanganyika:
-Uhuru ulipiganiwa na kupatikana kwa jina la Tanganyika.
-Jina linabeba "spirit" ya kupigania Uhuru na ukombozi.

Brilliant inputs mkuu.
Nilizoea kukuona jukwaa lile la ilmu ila nashukuru tupo pamoja kwa Tanganyika yetu.
 
TAN toka Tanganyika; ZAN toka Zanzibar; I toka jina la mtunga jina Iqbar; A toka kwa dhehebu la mtunga/mtoa jina Ahamadia. Unapotaja TANZANIA hujui kilichofichika ndani yake. Ahsante MUNGU kwa majira na nyakati hizi, our motherland Tanganyika is being resurrected!
Mkuu umenikumbusha juu ya Ahmadiyya, kweli yapasa kabisa Tanganyika irejee. Maana jinsi jina Tanzania lilivyobuniwa...mmh!
 
Hii rasimu kiufupi ni ileile minyororo ya mkoloni mweusi kuikaba koo zanzibar,mbona hatuoni kipengele cha nchi nyengine kujiunga na muungano huu?kwa rasimu hii itapita miaka 2000 hakuna nchi itakayotaka kujiunga na mvurugano huu.
 
ahhh.. kuimarisha niniii... tunajibebea mambo kutoka kwenuu tuuuu... na saa ivi tunachotaka nndo hicho kinakua... sasa sijui mtasema namna gani tena kwa sababuvyovyote vile tanzaniai itakua ni shirikisho tuu... ambalo litakua kama kawaida yetutunaburuza kwa asilimia kibao humo ndani ya yaani watu milioni arunaini mtatoa wajumbe kama 50 ivi na sisi milioni moja tutatoa wabunge kama ishirini... ma percenti kibaoo hayo.. tunaendela na kuburuza......si mlitaka mbaki na tanzania but ndo hiyo tena tunaburuza sisi sio.. nyi ummeumbwa kuburuzwa tuu na wa zenj mpaka dooms day.. u know inauma but ndo mambo... yaani viwatu kidogooo inaburuza mijitu mikubwa hiyooooooooooo.. dahhhh aibu...
 
RUDI TANGANYIKA RUDI, RUDI NASEMA TENA RUDI!

Acha ndoto, nani kasema itakuwa Tanganyika ni TANZANIA BARA hutaki kimbilia kwenye mabaraza ya katiba uhoji? Tangayika ilishakufa kitambo. na hakuna atakaye ifufua, kwa sasa tunawabatiza jina la Tanzania Bara maana hamna asili tena, asili yetu muliitupa kwa ulafi wa kutaka kuwa wakoloni weusi.
 
Tanganyika ni jina tu kama lilivyo Tanzania....bad enough ni jina lilipowewa nchi na wajerumani (Tanga + Nyika) ikiwa na maana baada ya kufika Tanga kuna nyika kubwa tu mpaka ziwani ambalo ndio ziwa Tanganyika....lakini kupanga pia ni kuchagua

Is it? Mwalimu is on record saying sijui hili jina Tanganyika limetokelezea wapi. Anyway Tanganyika by any other name ni Tanganyika ile ile tu.
 
Back
Top Bottom