Tunaikubali kauli hii ya mchungaji Msigwa?

Tunaikubali kauli hii ya mchungaji Msigwa?

Ila jamani kweli dar hamuipendi mmechagua eneo baya ndo mkaweka picha yake mbona kuna maeneo mazuri tu
 
Ukwaju

Mkuu hebu angalia hiyo miji mingine kwa umakini

Usiangalie uzuri wa majengo angalia mpangilio wa majengo na barabara zilivyo makini.

Hapo utagundua msigwa amemaanisha nini pia utaelewa mleta mada amemaanisha nini kuweka hizo picha.

Usilete ushabiki kwenye mambo ya msingi na maendeleo ya nchi yetu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hebu angalia hiyo miji mingine kwa umakini
Usiangalie uzuri wa majengo angalia mpangilio wa majengo na barabara zilivyo makini.
Hapo utagundua msigwa amemaanisha nini pia utaelewa mleta mada amemaanisha nini kuweka hizo picha.
Usilete ushabiki kwenye mambo ya msingi na maendeleo ya nchi yetu
wewe na Msigwa hampishani MNAELEWA NINI"
Bora hata ungekuwa Mama Tubaijuka ningekuelewa
Dar una kasoro gani kulimganisha na hiyo miji yako km sio ushabiki
KAA kimya
 
wewe na Msigwa hampishani MNAELEWA NINI"
Bora hata ungekuwa Mama Tubaijuka ningekuelewa
Dar una kasoro gani kulimganisha na hiyo miji yako km sio ushabiki
KAA kimya

Buku 7 katika ubora wako

Hata mambo ya msingi unaleta ushabiki maandaz.

Kaz njema
 
Buku 7 katika ubora wako
Hata mambo ya msingi unaleta ushabiki maandaz.
Kaz njema
huko Iringa kuna mipango miji ?
Yaani unashindwa kupenda kwenu utapenda wapi sasa
joo na data na picha km mwenzako ndio nitakuelewa
Tatizo la BAVICHA ni kupinga kula kitu
10981354_1639817946237520_5644291588202214941_n.jpg

11133694_1639817919570856_4405229376671131370_n.jpg

11115786_1639818052904176_6556614399377971866_n.jpg
 
Ukwaju

Naona maneno ya Msigwa yamekushika pabaya

Viva CHADEMA
 
Last edited by a moderator:
Duh, hii ndio ile waswahili wanasema nanukuu ''Kama kusoma hujui hata picha huoni" mwisho wa kunukuu!
Jiji la Dar hapo naina foleni ya magari tu na twin tower ile nadhani!

Aibu gani hii jamani!!??
 
Mnataka nyumba zikae kwa misitari kama mahindi, Nipeni kura yenu aka kula yenu
 
Haya sasa hii ni sehemu ya mitaaa masikini uko kenya vp unalinganisha na hapa tanzania, jamani tukubali tu sisi tunarudi nyuma wenzentu wanasonga mbele

Hii kenya
ImageUploadedByJamiiForums1432957522.684300.jpg

Na hapa ni daresalaam ImageUploadedByJamiiForums1432957558.328992.jpg

Haya niambie wanaolalamika sijatendea haki, mbona hata picha hii ya kenya wametupita mbali tu jamani, tuache ushabiki
 
Duuh kweli akili ndogo inaongoza akili kubwa!Bravo Msigwa
 
acha uvivu wa kufikiria km mchungaji aliyeacha kanisa akaamua kuingia kwenye siasa alafu anaongea uongo, kwa taarifa yako sio kila kitu kinajegwa na serikali ktk nchi ulizotaja kuna watu wanaitwa property/estate developers ss kwa hali iyo Tanzania tunao watu wangapi kama hao.

UPINZANI TANZANIA NI KUPINGA KILA KITU BILA KUWA NA SULUHISHO MBADALA NI U-NDEZI NAOMBENI WAKATI MWINGINE MJE NA MAWAZO MBADALA SIO KUPONDA KILA KITU.. Ms..ngwa my asssssssssss
 
Tumezidiwa sema tu hapa kuna watu wabishi wamekalia tu politiki
 
Back
Top Bottom