Tunaikubali kauli hii ya mchungaji Msigwa?

Tunaikubali kauli hii ya mchungaji Msigwa?

sio viongozi wake tu, hata wananchi wake pia. Maana viongozi wote duniani hawawi madarakani kwa bahati mbaya, bali kwa uwezo unaoakisi akili na uwezo wa fikra wa wananchi wao. Kwa hiyo jinsi walivyo viongozi wa mataifa ndivyo na wananchi wao walivyo

dah ukweli mchungu ila well said
 
tamimusalim

Hata hapa ni DSM

IMG_0309.jpg



Dar_es_Salaam_tanzania.jpg


01+Dar+Es+Salaam+from+teh+Air.JPG


4817382223_e04f4ea259_b.jpg
 
Last edited by a moderator:
nimemchek wakat akitoa maelezo hayo mchana mpaka nikaona kuna umhim wa kupata namba ake nina mpango wa kuish iringa hv karibun
jaman kuna mwenye namba ake? anisaidie!
siyo msigwa tu also maelezo alotoa mbatia ni right for 1oo% wamenifanya nikaulizie bei ya king'uz
 
Yupo sahihi ukitembea kwenye Theory Isemayo; Every thing created by man, was existed first in his mind, (i.e. creation starts in mind)
Mpangilio Wa Majengo Ya Miji Ya Tanzania Ilianzia Vichwani Mwa Viongozi Wetu, Na Sisi Tuliowachagua.
 
yupo sahihi kabisa kwani wananchi huchagua viongozi lakini maamuzi mengi kama sio yote hufanywa na viongozi hivyo TASWILA YA DAR INA SURA YA FIKRA ZA VIONGOZI:teeth::teeth::teeth::teeth::teeth::teeth:
 
Hivi ni haki kweli mtu kama Kibajaji, prof majimarefu, Asumpta mshama watupangie bajeti halafu mkaona ni mambo ya kawaida tu ??

kwa hali mali miccm lazima iondoke
 
Sio viongozi wake tu, hata wananchi wake pia. Maana viongozi wote duniani hawawi madarakani kwa bahati mbaya, bali kwa uwezo unaoakisi akili na uwezo wa fikra wa wananchi wao. Kwa hiyo jinsi walivyo viongozi wa mataifa ndivyo na wananchi wao walivyo

Ni kweli kabisa kwamba viongozi wa hovyo hutokana na jamii za kipuuzi. Kama jamii makini ikapata kiongozi mpuuzi, watamuondoa mara moja!
 
Nyie ndo maana mnazidi kudharauliwa na Wakenya, mnawapa kiburi nyie wenyewe... Hiyo picha hapo juu sio Nairobi.. Hapo ni Cairo
 
Tukiweka flyovers patakuwa kama New Delhi!! Kwani si tumepata uhuru juzi tu 61 jamani?
 
Huu uzembe upo nchi nzima wananchi wanajenga kiholera bila viwanja kupimwa sijui tanzania hatuna mipango miji.
 
Back
Top Bottom