Tunaikubali kauli hii ya mchungaji Msigwa?

Tunaikubali kauli hii ya mchungaji Msigwa?

Acha ubishi mkuu , hapo nairobi ni jirani yetu huyo, kuthibitisha angalia ukumbi wa jomo kenyatta hilo gholofa lenye duara juu nadhani utakubali mkuu, maana uwo ndio utambulisho wa jiji la nairobi

Hapo kweli sio Nairobi, hilo jengo unalosema ni KICC sio. Nairobi hawana METRO. Ukiangalia vizuri hiyo picha utaona kuna njia ya kama reli au barabara(hiyo itakuwa njia ya METRO nadhani) imeingia moja kwa moja kwenye hilo jengo la duara. KICC haina kitu kama hicho.
 
Nimejikuta nacheka tu, hasa nikiifikiria Tandale. Yaani nawaona kabisa viongozi wenye akili za ki-Tandale Tandale. Yaani kila kiongozi anaenijia kichwani namuona kabisa ni Tandale Mtupu.
 
Kwahiyo Iringa mjini inafanana na Mbunge wa pale?

Wewe tulia dawa iingie tuna wapa miaka mitano tu UKAWA itaibadilosha Tanzania tunahitaji viongo wenye wivu wa maendeleo sio wachumia tumbo mtu uweze kukaa morogoro ufanyr kazi arusha jioni urudi nyumbani morogoro watu wanaangamia kwa kukosa maarifa na ubinafsi.
 
Duh!!! Tumezidiwa hadi na wakenya???? No doubts coz kenya is a capitalist country earlier.
 
Sio viongozi wake tu, hata wananchi wake pia. Maana viongozi wote duniani hawawi madarakani kwa bahati mbaya, bali kwa uwezo unaoakisi akili na uwezo wa fikra wa wananchi wao. Kwa hiyo jinsi walivyo viongozi wa mataifa ndivyo na wananchi wao walivyo

Ni kweli kabisa,ujinga walionao watanzania ni halali kabisa kuishi maisha ya kijinga na kuchagua viongozi wajinga,maana ktk serikali ya mbwa na rais wao lazima awe mbwa.
 
Tukiongelea kuhusu South Africa. Wasouth makaburu walipata uhuru mwaka 1948 kutoka kwa waingeliza, mwaka 1966 tayali walikua na Train za umeme za mijini miji hiyo ni Jbeg, Cape na Derban.

na mwaka 1994 wanamkabizi Nchi Mandela, ikiwa na barabara za rami, maji na umeme katika kila makazi yalio pimwa Nchi nzima mpaka vijijini. Je 1948 wangekua wamekabiziwa Nchi wakina Mandela, ingekua na maendeleo hayo?
 
Viongoz. Wetu. Wanaingia. Madarakani. Kwa. Masilahi. Yao. Na. Wala. Sio. Kuleta. Maendeleo. Ya. Nchi. Yetu
 
Hiyo unayosema ni Nairobi siyo kweli. I know the city in the sun
 
Mkuu Tamimusalim,

Mbona mnapenda sana kuwabeba wa-Kenya kuwa ''image'' ya tatu ni jiji la Nairobi, Kenya hiyo image inafanana na jiji la Mumbai, India

attachment.php




Hata hivyo naungana na Mchg Msigwa kuwa ni kweli mandhari au mazingira ya mji, jiji, kijiji na nyumba za kaya yana fanana na mawazo/akili za wakazi wake
 
Acha ubishi mkuu , hapo nairobi ni jirani yetu huyo, kuthibitisha angalia ukumbi wa jomo kenyatta hilo gholofa lenye duara juu nadhani utakubali mkuu, maana uwo ndio utambulisho wa jiji la nairobi
wewe ndiye mbishi
 
Perfect watz tunezidi. Angalia viongozi wetu hopeless watu na akili timilifu huwezi kaa ukaweka muswada kuwa SAA mbili kila news media zijiunge na tbc
 
And you still thinking of electing another vision less creature goes by the name Edward N. Lowassa. It will take many centuries before we eventually see Tanzania we all wish it to be.
 
Back
Top Bottom