stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 36,098
- 34,894
biblia ni ile ileKwa zamani labda
biblia ni ile ileKwa zamani labda
Hatutaki Tume inayogawa ubunge kama hisani,kwa ahadi iliyopewa Chaumma. Mbona zamani wabunge 2 upinzani walipatikana kwa haki miaka 90Nipo Salama! Hofu Kwenu!
Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.
Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.
Reforms ambazo zitafanya uchaguzi uwe wa Haki ili Ile dhana ya Free and fair election iwe halisi.
Tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kupitia hiyo uchaguzi utakuwa huru na wahaki!
Tume Huru ambayo vyombo vya Dola vitakuwa huru kufanya KAZI yao pasipo shinikizo kutoka upande wowote. Mwenye kushinda apewe ushindi wake. Aliyeshindwa akae pembeni ajipange wakati ujao.
Watibeli siku zote hatutakaa upande wa dhulma. Kwa sababu upande wa dhulma ni upande wa mshindwa, upande dhaifu, upande usio na nguvu.
Tunahitaji Reforms ambazo zitafanya Kura ya mwananchi iwe na nguvu.
Hatuhitaji tume ambayo itatupa viongozi wanaoshindwa kutetea wananchi wao na matokeo yake wanajipendekeza kwa Serikali.
Tume ambayo itatupa viongozi wanaotambua nguvu ya mihimili mitatu inayoongoza nchi yetu.
Tume ambayo itatupa wabunge ambao sio wagonga Meza kwa kila kitu hata kama vingine vinatakiwa ku- be challenged.
Tume ambayo itatupa viongozi ambao mtanzania mmoja akiumizwa, akitekwa ni lazima nchi isimame Kwanza kuhakikisha haki ya mtanzania huyo imepatikana.
Tume ambayo itatupa viongozi watakaoheshimu vyombo vya Dola na sio kuvidharau na kudharau vijana wetu wanaofanya KAZI huko kwa kuwapa KAZI kinyume na maadili ya KAZI Yao na kinyume na utu wa mwanadamu.
Tunahitaji Reforms ili uchaguzi uwe wa Haki.
HAKI HUINUA TAIFA!
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa Sasa, Dar es salaam
LEta reforms acha maneno mengi....kwani reform itakuzuia kwenda bungeni kama unafaa?watu wana agenda zao tu za kurudi bungeni wala amna cha maaana
kwa WAtumishi tu wa kawaida ndani ya wizara.Nipo Salama! Hofu Kwenu!
Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.
Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.
Reforms ambazo zitafanya uchaguzi uwe wa Haki ili Ile dhana ya Free and fair election iwe halisi.
Tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kupitia hiyo uchaguzi utakuwa huru na wahaki!
Tume Huru ambayo vyombo vya Dola vitakuwa huru kufanya KAZI yao pasipo shinikizo kutoka upande wowote. Mwenye kushinda apewe ushindi wake. Aliyeshindwa akae pembeni ajipange wakati ujao.
Watibeli siku zote hatutakaa upande wa dhulma. Kwa sababu upande wa dhulma ni upande wa mshindwa, upande dhaifu, upande usio na nguvu.
Tunahitaji Reforms ambazo zitafanya Kura ya mwananchi iwe na nguvu.
Hatuhitaji tume ambayo itatupa viongozi wanaoshindwa kutetea wananchi wao na matokeo yake wanajipendekeza kwa Serikali.
Tume ambayo itatupa viongozi wanaotambua nguvu ya mihimili mitatu inayoongoza nchi yetu.
Tume ambayo itatupa wabunge ambao sio wagonga Meza kwa kila kitu hata kama vingine vinatakiwa ku- be challenged.
Tume ambayo itatupa viongozi ambao mtanzania mmoja akiumizwa, akitekwa ni lazima nchi isimame Kwanza kuhakikisha haki ya mtanzania huyo imepatikana.
Tume ambayo itatupa viongozi watakaoheshimu vyombo vya Dola na sio kuvidharau na kudharau vijana wetu wanaofanya KAZI huko kwa kuwapa KAZI kinyume na maadili ya KAZI Yao na kinyume na utu wa mwanadamu.
Tunahitaji Reforms ili uchaguzi uwe wa Haki.
HAKI HUINUA TAIFA!
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa Sasa, Dar es salaam
kwa sababu hamjashinda nyie ndo maaana mnasema reform ila mngeshinda hizi story wala zisingekuepoLEta reforms acha maneno mengi....kwani reform itakuzuia kwenda bungeni kama unafaa?
Na wasiojulikana je?kwa sababu hamjashinda nyie ndo maaana mnasema reform ila mngeshinda hizi story wala zisingekuepo
Watu hamna shukrani .......hata hii hatua ya kusambaza ujumbe mitandao yoote si haba. Tumetika mbali kama Nchi.Reforms haziji kwa kulalamika kwa kuandika bali kwa actions.
sasa mada iwe wasiojulikana sio election tenaNa wasiojulikana je?
kwa WAtumishi tu wa kawaida ndani ya wizara.
Bongo wizara zenye mishahara minono ni zipi bwashee ukitoa wizara ya tamisemi, wizara ya TRA na Wizara ya Ulinzi
Huo ni ukweli mchungu, bila mabadiliko kupiga kura ni kupoteza muda...Nipo Salama! Hofu Kwenu!
Tunahitaji reforms sio kwaajili ya Chama Fulani bali kwaajili ya vyama vyote.
Reforms kwaajili ya CCM,
Reforms kwaajili ya CHADEMA,
Reforms kwaajili ya vyama vyote vya siasa nchini.
Reforms kwa Sisi tusio na vyama lakini ni wapiga Kura.
Reforms ambazo zitafanya uchaguzi uwe wa Haki ili Ile dhana ya Free and fair election iwe halisi.
Tunahitaji Tume Huru ya Uchaguzi ambayo kupitia hiyo uchaguzi utakuwa huru na wahaki!
Tume Huru ambayo vyombo vya Dola vitakuwa huru kufanya KAZI yao pasipo shinikizo kutoka upande wowote. Mwenye kushinda apewe ushindi wake. Aliyeshindwa akae pembeni ajipange wakati ujao.
Watibeli siku zote hatutakaa upande wa dhulma. Kwa sababu upande wa dhulma ni upande wa mshindwa, upande dhaifu, upande usio na nguvu.
Tunahitaji Reforms ambazo zitafanya Kura ya mwananchi iwe na nguvu.
Hatuhitaji tume ambayo itatupa viongozi wanaoshindwa kutetea wananchi wao na matokeo yake wanajipendekeza kwa Serikali.
Tume ambayo itatupa viongozi wanaotambua nguvu ya mihimili mitatu inayoongoza nchi yetu.
Tume ambayo itatupa wabunge ambao sio wagonga Meza kwa kila kitu hata kama vingine vinatakiwa ku- be challenged.
Tume ambayo itatupa viongozi ambao mtanzania mmoja akiumizwa, akitekwa ni lazima nchi isimame Kwanza kuhakikisha haki ya mtanzania huyo imepatikana.
Tume ambayo itatupa viongozi watakaoheshimu vyombo vya Dola na sio kuvidharau na kudharau vijana wetu wanaofanya KAZI huko kwa kuwapa KAZI kinyume na maadili ya KAZI Yao na kinyume na utu wa mwanadamu.
Tunahitaji Reforms ili uchaguzi uwe wa Haki.
HAKI HUINUA TAIFA!
Robert Heriel
Taikon Master
Kwa Sasa, Dar es salaam
Free tundu lissuUchaguzi wa haki ukoje?
Huo ni ukweli mchungu, bila mabadiliko kupiga kura ni kupoteza muda...
NaamNRNE
Reforms haziji kwa kulalamika kwa kuandika bali kwa actions.
Kwa sababu amestaafishwa kwa kushindwa uchaguzi, alivyosema hagombei heshima yake ilikua kubwa sanaWewe unaamini Mbowe hakutendewa haki uchaguzi wa Chadema?
Mbona kanuna? 🐼