PreGE2025 Tunahitaji Reforms ili uchaguzi wa Haki Ufanyike

PreGE2025 Tunahitaji Reforms ili uchaguzi wa Haki Ufanyike

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Kwa mara ya kwanza naona viongozi wa ccm na serikali wanaogopa uchaguzi wa haki...kutamka neno haki mdomoni mwao ni sawa na kutamka tusi kubwa hadharani...aibu kbs hiii!.
hakuna haki duniani, hata Biblia inasema wenye nacho wanaongezewa na ambao hawana wanyangaywe walichokua nacho,
 
wakina lema walivoshinda ubunge NEC haikupewa izi shutma 🤣 🤣 , chama kishakufa kinapiga tu kelele za no reform
Wanachokataa kwamba mpaka Mbunge wa Upinzani anatangazwa Kuna watu tayari wameumia au wengine wanekufa wengine wako police kifupi TUME HURU ni nzuri tutaondoa Utemi kwenye siasa
 
Tume huru ni kwamba mtu unaweza simama na chama chochote ukashinda ni wewe kukubalika kwako na hoja zako kwa wananchi kifupi hamna Janja na UTEMI wa Kipumbavu kwenye siasa na Wenyeviti wa Chama watakua na adabu kutuletea watu wanaofaa
 
CCM hawajawahi kushinda uchaguzi, wanajua wakikubali Reforms wanakabidhi dola.
Na wao si wajinga ki vilee.

Hapo napinga.
CCM kwenye Kura za Urais mara nyingi wanashinda.
Sijajua Mwaka huu
Kwenye ubunge yapo maeneo CCM haina wa kuwapiku.

Wizi wa Kura wanaiba kwa baadhi ya maeneo

Hapa tunazungumzia ukweli na Haki
 
Wanachokataa kwamba mpaka Mbunge wa Upinzani anatangazwa Kuna watu tayari wameumia au wengine wanekufa wengine wako police kifupi TUME HURU ni nzuri tutaondoa Utemi kwenye siasa
hakunaga haki duniani boaz mwalwayo , hata biblia anasema maskini anatakiwa kuchukuliwa ata kidogo alichonacho, movement zinazotumia siasa ni kwa sababu kuna watu wamekosa viti
 
Tume huru ni kwamba mtu unaweza simama na chama chochote ukashinda ni wewe kukubalika kwako na hoja zako kwa wananchi kifupi hamna Janja na UTEMI wa Kipumbavu kwenye siasa na Wenyeviti wa Chama watakua na adabu kutuletea watu wanaofaa

Sahihi Kabisa
 
watu wana agenda zao tu za kurudi bungeni wala amna cha maaana
Mkuu nchi yetu ni masikini sana.
Na Kila mtu Sasa anatafuta namna ya kula kama wanavyokula CCM huku nchi ikibaki imetelekezwa wakifaidi Wachina, Waarabu, wahindi na wazungu.

Hitaji la reform kwangu naamini ni KITU kidogo kuliko hitaji la mega economic reform nchini kuanzia katika level ya familia na nchi KWA ujumla.
 
Mkuu nchi yetu ni masikini sana.
Na Kila mtu Sasa anatafuta namna ya kula kama wanavyokula CCM huku nchi ikibaki imetelekezwa wakifaidi Wachina, Waarabu, wahindi na wazungu.

Hitaji la reform kwangu naamini ni KITU kidogo kuliko hitaji la mega economic reform nchini kuanzia katika level ya familia na nchi KWA ujumla.

Hao wachina, Wahindi, waarabu na Wazungu wanakula bila ruhusa ya wenyeji?
 
Mkuu nchi yetu ni masikini sana.
Na Kila mtu Sasa anatafuta namna ya kula kama wanavyokula CCM huku nchi ikibaki imetelekezwa wakifaidi Wachina, Waarabu, wahindi na wazungu.

Hitaji la reform kwangu naamini ni KITU kidogo kuliko hitaji la mega economic reform nchini kuanzia katika level ya familia na nchi KWA ujumla.
hakunaga kitu kama icho, maisha ni mapambano, kuna msemo unaitwa SURVIVAL FOR THE FITTEST sjui kama ushawahi kuuskia, bila maskini masha hayawezi kua na maaana, mambo yapo hivi kwa maksudi nyie ndo mnahangaika mnataka sjui watu wasiwe maskini sjui haki hayo mambo hayapo, biblia inasema: asiekua nacho hata kile kidogo alicho nacho anatakiwa kunyanganywa
 
Tunahitaj reforms zitazotoa haki sawa kwa wahusika wote watatu kwenye uchaguz.

1. Mpiga kura apate haki ya kumchagua anayemtaka
2. Mshindi ashinde kwa haki
3. Atayeshindwa ashindwe kwa haki.

Bila reform tutaendelea kuletewa wakina Bora wagombea na si wagombea Bora

Reforms si kwa ajili ya chama chochote Cha siasa Bali ni kwa ajili ya kila mtanzania.
 
Back
Top Bottom