Tunahitaji kiongozi ambaye hana hasira

Tunahitaji kiongozi ambaye hana hasira

Reuben Challe

Nkubaliana na wewe kabisa kwenye hili, ukweli kwamba tunategemeana kwa asilimia kubw sana kwa sasa hivyo ni muhimu vitu kama hivi vifanyike kwa hesabu sawa sawa.
Hatuwategemei wakenya sisi kwa lolote,wao wanatutegemea kwa chakula 40%,vifaa vya ujenzi,walete mbwembwe tusitishe kuwauzia msosi waandamane wauane
 
Baba yako Nyerere aliwafungulia wafanya biashara kesi za uhujumu uchumi kisa kawakuta na sabuni na sukari ilikua ni wivu au kisirani?
Swali zuri sana
Umenikumbusha na hasira zimerudi
Kweli alijua kutukomesha
Sijui anajibu nini huko
 
Back
Top Bottom