Tunahitaji kiongozi ambaye hana hasira

Tunahitaji kiongozi ambaye hana hasira

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
Baada ya Gen Z kumtukana Rais Samia mtandaoni,Wakenya wamefungiwa biashara.
Hiyo ni trade war. Tumeona balaa iliyotokea kati ya USA na China.
Hasira ni jambo baya.
Kiongozi anawaangusha Watanzania na Wakenya pia.
Katuni ya kipanya isiruhusiwe kubadili economic policy
 
Najua kwa sasa wakenya wanajiandaa kufanya revenge kwenye hili.

Nawaza biashara ya makaa ya mawe kwenda Kenya itakuwaje kutokana na huu msuguano uliopo kwa sasa.
Alafu wanasahau kuwa wanaandaa CHAN na AFCON! Kulete tensions tu!
Alafu mbona Sheria nyeti kama zile zisipitie bungeni? Ama bunge ni wasaidizi binafsi wa Rais?
ccm ina viongozi wajinga!
 
Mbona nasikia ban imehusisha foreigners watu ikiwalenga hususani Wachina wa Kariakoo
Hizi habari za Wakenya mnazitoa wapi?
Screenshot_2025-07-31-07-41-41-672_com.android.chrome.png
 
Alafu wanasahau kuwa wanaandaa CHAN na AFCON! Kulete tensions tu!
Alafu mbona Sheria nyeti kama zile zisipitie bungeni? Ama bunge ni wasaidizi binafsi wa Rais?
ccm ina viongozi wajinga!
Ni nini? Mbona sielewi. Zitumeni hapa tusome
 
Juzi juzi tu hapa mlikuwa mnalalamika wachina kujaa kariakoo na wengine kufungua car wash, hiyo sheria iliyotungwa haijalenga taifa moja. Hakuna mahali wamesema ‘Kenya’. Wa TZ sijui huwa mnahitaji nini, ndio maana ma CCM yanawatawala kadiri yatakavyo maana yanajua kazi yenu ni kulalamika tu
 
Baada ya Gen Z kumtukana Rais Samia mtandaoni,Wakenya wamefungiwa biashara.
Hiyo ni trade war. Tumeona balaa iliyotokea kati ya USA na China.
Hasira ni jambo baya.
Kiongozi anawaangusha Watanzania na Wakenya pia.
Katuni ya kipanya isiruhusiwe kubadili economic policy
Nyerere alikosea sana hasa kuweka usalama wa Taifa chini ya CCM
 
Baada ya Gen Z kumtukana Rais Samia mtandaoni,Wakenya wamefungiwa biashara.
Hiyo ni trade war. Tumeona balaa iliyotokea kati ya USA na China.
Hasira ni jambo baya.
Kiongozi anawaangusha Watanzania na Wakenya pia.
Katuni ya kipanya isiruhusiwe kubadili economic policy
Kwa huu uchawa kwanini watoto na wajukuu wa Baba wa Taifa wasiendelee kula vumbi huku wale wa Mwinyi na Samia wakila mapande makubwa ya keki ya taifa?
 
Abnormal
Wangeondoa wananchi wa EAC na SADC
kwenye hiyo ban, ila hawa Waasia wale ban tu kwa sababu hata kwao kufanya biashara hizo ndogo ndogo ni ngumu sana kama ww ni Mwafrika
 
Abnormal
Wangeondoa wananchi wa EAC na SADC
kwenye hiyo ban, ila hawa Waasia wale ban tu kwa sababu hata kwao kufanya biashara hizo ndogo ndogo ni ngumu sana kama ww ni Mwafrika

Reuben Challe

Nkubaliana na wewe kabisa kwenye hili, ukweli kwamba tunategemeana kwa asilimia kubw sana kwa sasa hivyo ni muhimu vitu kama hivi vifanyike kwa hesabu sawa sawa.
 
Ni madhara ya kutumia hisia badala ya akili.
 
Najua kwa sasa wakenya wanajiandaa kufanya revenge kwenye hili.

Nawaza biashara ya makaa ya mawe kwenda Kenya itakuwaje kutokana na huu msuguano uliopo kwa sasa.
Hata mananasi kiwangwa wakenywa huwa wanunuzi wakubwa

Ova
 
Back
Top Bottom