Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,637
Baada ya Gen Z kumtukana Rais Samia mtandaoni,Wakenya wamefungiwa biashara.
Hiyo ni trade war. Tumeona balaa iliyotokea kati ya USA na China.
Hasira ni jambo baya.
Kiongozi anawaangusha Watanzania na Wakenya pia.
Katuni ya kipanya isiruhusiwe kubadili economic policy
Hiyo ni trade war. Tumeona balaa iliyotokea kati ya USA na China.
Hasira ni jambo baya.
Kiongozi anawaangusha Watanzania na Wakenya pia.
Katuni ya kipanya isiruhusiwe kubadili economic policy