Tunahitaji chama kipya?

Tunahitaji chama kipya?

Aaaah Chama kipya tu umepata hata ukitaka vingine 100!
 
Wengi walikunga mkono hapa halafu wanakugeuka
 
Wabongo tuna kilema cha kifikra na ni waoga; tunawaogopa viongozi kama vile waliletwa na Mungu huku tukisahau kuwa ni sisi tuliowaweka madarakani. Hatuwezi kulazimsha viongozihao wafanye tunavyotaka; na hatuwezi kuwazuia wasifanye tusivyotaka. Nchi nyingine watu hupambana na viongozi wao ikibidi, lakini sisi tunakaa kimya na kudai eti tuna amani ilhali tunaona waziwazi tunaliwa wazima wazima na kuendelea kuwa na maisha ya dhiki.

Hata tungepata vyama vingine vingapi, kama wananchi hatutabadili mtizamo wetu na kujitambua kuwa ndio waajiri wa viongozi wetu, hatutakwenda popote.
 
Wengi walikunga mkono hapa halafu wanakugeuka

huwezi kutegemea watu wengine wanafanya nini na usitegemee kuungwa mkono na wengi. Hata yule Mwalimu wa Milele ilipofika wakati wa usiku waliokuwa karibu naye ndio waliomkimbia... lakini baadaye walijua alikuwa sahihi na wakajirudi isipokuwa yule msaliti. Kama angekuwa hajui ujumbe wake na gharama ya msimamo wake asingeendelea na yeye angekata tamaa tu. Mkitaka kuungwa mkono na wengi ili muwe sahihi hamfai kuongoza....wala kufuatwa.
 
Wengi walikunga mkono hapa halafu wanakugeuka
Hapana mimi nadhani Mwanakijiji ndiye kawaacha wao mataani. Pengine angswashirikisha waliomunga mkono wakajuana wakajua kimekubalika kitu gani, muundo na malengo wengi wangeendela kuunga mkono na hata kuchangia mbinu za kuwawezesha.
Tatizo ni pale Mwanakijiji alipoingia mitini na kuchukua mada hii kama ushahidi wa kile wananchi wanakitaka pasipo kujua kwamba the common enemy is CCM ndio sababu ya michango yao yote ya watu sio uzembe wa CUF, Chadema au TLP na vyama vinginevyo..

We would careless kama CCM wangeweza kukemea Ufisadi, kusimamisha sheria na hasa kurudi kwenye basics..mimi mmojawapo. As to say what counts is a method of analysis and approach, some kind of dialectical approach ambayo inaweza kumwondoa CCM without sectarianism...both CUF, Chadema, NCCR, TLP failed, they preached ideology of hatred of which themselves could'nt practice, na ndio maana watu wamechoka na hizi Ideology hata kama ukiwaambia itikadi ya CCJ ni tofauti wanaona zuga tu..
 
Hapana mimi nadhani Mwanakijiji ndiye kawaacha wao mataani. Pengine angswashirikisha waliomunga mkono wakajuana wakajua kimekubalika kitu gani, muundo na malengo wengi wangeendela kuunga mkono na hata kuchangia mbinu za kuwawezesha.
Tatizo ni pale Mwanakijiji alipoingia mitini na kuchukua mada hii kama ushahidi wa kile wananchi wanakitaka pasipo kujua kwamba the common enemy is CCM ndio sababu ya michango yao yote ya watu sio uzembe wa CUF, Chadema au TLP na vyama vinginevyo..

We would careless kama CCM wangeweza kukemea Ufisadi, kusimamisha sheria na hasa kurudi kwenye basics..mimi mmojawapo. As to say what counts is a method of analysis and approach, some kind of dialectical approach ambayo inaweza kumwondoa CCM without sectarianism...both CUF, Chadema, NCCR, TLP failed, they preached ideology of hatred of which themselves could'nt practice, na ndio maana watu wamechoka na hizi Ideology hata kama ukiwaambia itikadi ya CCJ ni tofauti wanaona zuga tu..

Na hawa wasukuma tuwaelewe vipi? + Kanisa katoliki?

Rais Kikwete alifuatana na wabunge kadhaa akiwemo Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (CCM) pamoja na Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM).
Aidha, Rais Kikwete amepewa jina la Mungubabu, ikiwa na maana busara na uwezo wa kuongoza nchi kama Mungu.
icon12.png

Mashindano ya 'bulabo' yalianza mwaka 1954 kupitia Kanisa Katoliki Bujola, lengo likiwa ni kuweka burudani mara baada ya mavuno.
 
Kwa hiyo hatuhitaji chama chochote sisi wapenda mabadiliko tuingie humohumo tuwaondoe hao waliopo tuwa-replace na wenye uzalendo. hii mijadala tunayoifanya hapa watu wanaiona

Hapa ndio napata ugumu wa kuelewa jinsi gani watu wanakaa kutafakari jinsi ya kuiondoa sisiem madarakani.hiyo si hoja kwa wakati huu,
kazi tuliyonayo sasa ni kuingia humohumo na kuanza kupambana na mafisadi na kusahau vyama vya upinzani kwa sababu Tanzania hakuna chama cha upinzani hapa kuna taasisi tuu za kisiasa zinazo fanana na vyama vya siasa.Jaribu kufikiria kila sector ya serekali kuna mkono wa sisiem,utapita wapi ndugu yangu?,Serekali zote za vijiji zimeshikwa na watu wa chama cha sisiem,kina kina ofisi kwenye vijiji vyote vya Tanzania,hata hivyo watanzania hawakuwa tayari kuingia kwenye siasa za upinzani,nashangaa kwanini watu wamekubali kuingia kwenye ushindani wa siasa za upinzani na sisiem,huu si usawa hata kidogo.Tuachane na kudanganyana tukae wote humohumo sisiem ili tugawane pande mbili za sisiem ndo tusime tuna vyama vya upinzani Tanzania.Hii ndio suluhisho la mafisadi na wenye nchi.sisiem-Matajiri VS sisiem-choka mbaya.
 
Hakika chama kinachotegemewa kwa sasa ni CDM ila nina wasiwasi hiki vhama kikidondoka basi tutakuwa tumefeli kabisa.

Nadhani tunaitaji chama kingine chenye viongozi thabit kuliko CCM, CHADEMA na vinginevyo. Nchi nyingine zimekomaa kidemokrasia so hawaitaji sana vyama vingi lkn hapa kwetu hili lina umuhim wake.

Vyama vingine vimeoza kwasababu ya FIMBO ya chama, mtu hata awe mzuri vipi akiingia kwenye hicho chama basi anakufa anazimishwa
 
hata hueleweki. hakuna uwezekano wa kuvikuza tulivyo navyo badala ya kuanzisha vingine?
 
Mie nadhani upo sahihi. Binafsi nina mashaka na CDM kuwa kina mlengo fulani hivi wa kiimani, wako agressive kuliko maelezo na siasa za kupinga hata palipo na ukweli wa dhahiri. CCM nao wametumaliza kwa ufisadi..... Twatumia nguvu nyingi kupata maendeleo kidogo.

Kutokana na mkanganyiko huu, tujitahidini kuchagua watu na si chama. vyama vyote vina baadhi ya watu wazuri sana tukisimamia hapo labda tuta songa mbele kidogo.
 
Ndio mmeanza kuandaa mazingira ya kale kachama kenu kapya nini baada ya kuona hako kaCCM kenu kametandikwa na Chadema hadi kamelowa damu shati lote sasa mumeamua kupiga mande..teh..teh..!mtaunda vyama milioni tatizo sio vyama,bali ni watu wanaokubalika na sera zinazokubalika!
 
Hakika chama kinachotegemewa kwa sasa ni CDM ila nina wasiwasi hiki vhama kikidondoka basi tutakuwa tumefeli kabisa.

Nadhani tunaitaji chama kingine chenye viongozi thabit kuliko CCM, CHADEMA na vinginevyo. Nchi nyingine zimekomaa kidemokrasia so hawaitaji sana vyama vingi lkn hapa kwetu hili lina umuhim wake.

Vyama vingine vimeoza kwasababu ya FIMBO ya chama, mtu hata awe mzuri vipi akiingia kwenye hicho chama basi anakufa anazimishwa
hatuhitaji chama strong.... tunahitaji wananchi strong
 
Hata kikiundwa chama kipya hakitakuwa na Ideology tofauti na hivi vilivyopo, chamsingi tunahitaji kuvipunguza hivi tulivyonavyo kama tunaamini katika efficient way of allocating scarce resource(human and time)
 
Tatizo si vyama bali viongozi madhubuti ndio wanaohitajika, maana viongozi wa hivi vyama karibia wote ni msfisadi ingawa kwa range tofauti. Mfano viongozi wengi wa CCM ni mafisadi kwa kutuingiza katika mikataba feki na kufiche fedha nje uswiss, halikadhalika CDM nao inaonesha baadhi ya viongozi ni mafisadi, kwa kutumia pesa za ruzuku kujikopesha na hata kupeana madaraka na vyeo kiundugu undugu. Kwa maoni yangu nasema viongozi wote hasa upinzani wanauchu wa madaraka ndio maana kila siku wanaibuka na vyama vipya kwa nini wasiungane kama wenzao wa Kenya tukapata chama pinzani strong ili tukiweke madarakani?
Lakini kwa kutegemea hawa wapiga porojo tu na wafuasi wao wanajua kutukana tu badala ya kumshawishi mtu ahamie chama chao na apige kura, badala yake wanakuwa walewale. kwa stahili hii CCM itatawala milele.
 
Kuungana vyama kwa TZ sidhani kama inawezekana labda john tendwa na wenzake wapitia upya ruzuku na kuzibana, hakuna asiejua CUF ni cccm B, NCCR ndo walewale, vyama vilivyobaki kama TLP,UDP n.k vina watu wao ambao ndo kila kitu. Naamini kikiundwa chama thabiti na wasomi na wachapakazi tutainyoosha TZ yetu.
 
TUnachohitaji wala siyo vyama bali viongozi wetu kuukubali ukweli kuwa tupo kwenye vyama vingi na zidumu fikra za mwenyekiti zimeshapitwa na wakati
 
Hakika chama kinachotegemewa kwa sasa ni CDM ila nina wasiwasi hiki vhama kikidondoka basi tutakuwa tumefeli kabisa.

Nadhani tunaitaji chama kingine chenye viongozi thabit kuliko CCM, CHADEMA na vinginevyo. Nchi nyingine zimekomaa kidemokrasia so hawaitaji sana vyama vingi lkn hapa kwetu hili lina umuhim wake.

Vyama vingine vimeoza kwasababu ya FIMBO ya chama, mtu hata awe mzuri vipi akiingia kwenye hicho chama basi anakufa anazimishwa

Anzisha cha kwako acha makelele humu kwenye JF kwani hujui taratibu za kusajili chama cha siasa?
 
Hatari kubwa zaidi ni pale tunapojaza wabunge wa chama kimoja cha siasa bungeni, hapo tunaharibu kabisa. Iwe CCM au chama kingine chochote cha upinzani kwa sasa, chama chenye wabunge wengi zaidi (>50%) kinatumia nafasi hiyo kwa maslahi ya kichama zaidi.

Mbaya zaidi chama tawala kikiwa na wabunge zaidi ya 50%, systems za "checks and balances" zinashindwa kufanya kazi kwa kuwa bunge linakuwa rubber stamp kuhalalisha maamuzi ya watawala ambao ni wanachama wa chama chenye wingi wa wabunge. Hapa wanaoumia ni wananchi wa kawaida, na maendeleo ya nchi.

Tuamke tulenge kuweka uwiano bungeni.
 
CDM inatutosha, unda cha chako cha wanandugu, wewe mwenyekiti and ze-wife katibu -- kama kile cha rafiki yangu mzee wa kibajaji aka mzee wa mahakama.
 
Bila kubadili utamaduni tutaanzisha vyama utitiri bila kupata mwanga wa kandili.
 
Back
Top Bottom