Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Kuanzisha chama kipya si jawabu kwani tuna utitiri wa vyama na hakuna mabadiliko.
Well!
Watanzania wanatakiwa kuingia mitaani kila siku na mabango ya kudai changes na haki bila kuogopa kupigwa na Polisi. Kwa kufanya hivi mabadiliko na haki vitapatikana katika kipindi cha wiki moja tu
Where is the starting point? Nani anatakiwa astimulate that awareness kny mioyo ya Watanzania?