- Thread starter
- #41
Tungekuwa tunataka kumpiga mteja ningesema hapa kuwa kazi zote tunafanya sisi lakini nimekuwa mkweli kuwa sisi ni driller tu, na tumejalibu kuwa partner na surveyor mmoja ili kuepuka down time ,maana unaweza kukuta wanakazi nyingi halafu mteja anahalaka sasa kwa sisi lazima afanye kazi yetu ndo aendelee na zingine kwa sababu tunamkataba nae, ila kama mteja anasurveyor wake pia ni sawa. mwisho wa siku si tunataka tufanye kazi kwa haraka zaidi.Mkuu utanisamehe kama nimekosea
Hapo kwenye survey ya Maji natofautiana na utaratibu wenu ..... surveyor anatakiwa awe ni kampuni au MTU ambaye ni independent kabisa ambaye hafungamani wala hana maslahi na kampuni ya uchimbaji wa Maji.... mara nyingi wachimbaji Wa mMaji hushirikiana na surveyors ku- exaggerate ukubwa Wa kazi ..... surveyor anaweza skuta Maji ni let say 70 meters lakini kwa vile anafahamiana na wachimbaji na report itapikwa na kuandikwa 95 meters .... hapo umeliwa 25 meters
mashauri mteja atafute surveyor wake mwenyewe na siyo kuletewa na mchimbaji Wa maji