Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,456
Wakuu
Hili suala nimekua nalifikiria mara kwa mara
Tuna chuo Kikuu cha kilimo SUA lakini kwanini hakuna wanafunzi au walimu wanaotoka pale na kua wakulima wakubwa na bora. Wote wakimaliza pale wanaamini kwamba wanatakiwa waajiriwe maofisini. Ina maana hawa walienda chuo cha kilimo ili waajiriwe au wawe wakulima. Tatizo liko wapi
Pia hata hiko chuo hakina mashamba makubwa na bora yaani plantations au largest ranches za ufugaji Tanzania. Tatizo liko wapi
Tuna Vyuo vya Uvuvi visivyo na meli kubwa sana za Uvuvi Afrika Masharaiki na kati
Tuna Shirka la SIDO lenye jukumku la kuendeleza viwanda vidogo. Lakini sioni hivyo viwanda vidogo vilivyotokana na SIDO. Tatizo liko wapi
Tuna Tume ya Sayansi isiyofanya sayansi yoyote wala isiyo vumbua na kugundua mambo yoyote mapya yakisanayansi. Hawa jamaa hua wanafanya nini
Kwanini chuo cha veta hakina gereji bora kabisa na yabei nafuu sana Tanzania na shirika la ujenzi bora nala bei nafuu sana
Chuo cha Ardhi kwanini hakina student archtects bora nawa bei nafuu sana?
Tuna bodi ya mikopo ya vyuo vikuu inayotegemea rudhuku kutoka serikalini wakati imekua inakopesha watu zaidi ya miaka 20. Kwanini sasa isiwe na fedha zao wenyewe na kujiendesha bila utegemezi wa serikali kifedha
Tuna benki ya wakulima ambayo sijaona wala kusikia success story zao za kuzalisha wakulima wakubwa na plantations
Tuna benki ya TIB Tanzania Invetment Bank ambayo sijasikia success story yoyote kutoka kwa wafanya biashara au wawekezaji kwa jisni ilivyowasaidia na kuzalisha wafanya biashara wakubwa au viwanda vikubwa
List ni ndefu ya taasisi zinazo jinasibu kufundisga taalamu fulani lakini hazina maeneo yakuonyesha hicho wanachofundisha na kusaidia jamii katika nyanja hiyo wenye utaalamu nayo
Tatizo ni nini hasa. Je ni mifumo, au mitaji, au mindest au siasa au nini? Tunakosea wapi?
Hili suala nimekua nalifikiria mara kwa mara
Tuna chuo Kikuu cha kilimo SUA lakini kwanini hakuna wanafunzi au walimu wanaotoka pale na kua wakulima wakubwa na bora. Wote wakimaliza pale wanaamini kwamba wanatakiwa waajiriwe maofisini. Ina maana hawa walienda chuo cha kilimo ili waajiriwe au wawe wakulima. Tatizo liko wapi
Pia hata hiko chuo hakina mashamba makubwa na bora yaani plantations au largest ranches za ufugaji Tanzania. Tatizo liko wapi
Tuna Vyuo vya Uvuvi visivyo na meli kubwa sana za Uvuvi Afrika Masharaiki na kati
Tuna Shirka la SIDO lenye jukumku la kuendeleza viwanda vidogo. Lakini sioni hivyo viwanda vidogo vilivyotokana na SIDO. Tatizo liko wapi
Tuna Tume ya Sayansi isiyofanya sayansi yoyote wala isiyo vumbua na kugundua mambo yoyote mapya yakisanayansi. Hawa jamaa hua wanafanya nini
Kwanini chuo cha veta hakina gereji bora kabisa na yabei nafuu sana Tanzania na shirika la ujenzi bora nala bei nafuu sana
Chuo cha Ardhi kwanini hakina student archtects bora nawa bei nafuu sana?
Tuna bodi ya mikopo ya vyuo vikuu inayotegemea rudhuku kutoka serikalini wakati imekua inakopesha watu zaidi ya miaka 20. Kwanini sasa isiwe na fedha zao wenyewe na kujiendesha bila utegemezi wa serikali kifedha
Tuna benki ya wakulima ambayo sijaona wala kusikia success story zao za kuzalisha wakulima wakubwa na plantations
Tuna benki ya TIB Tanzania Invetment Bank ambayo sijasikia success story yoyote kutoka kwa wafanya biashara au wawekezaji kwa jisni ilivyowasaidia na kuzalisha wafanya biashara wakubwa au viwanda vikubwa
List ni ndefu ya taasisi zinazo jinasibu kufundisga taalamu fulani lakini hazina maeneo yakuonyesha hicho wanachofundisha na kusaidia jamii katika nyanja hiyo wenye utaalamu nayo
Tatizo ni nini hasa. Je ni mifumo, au mitaji, au mindest au siasa au nini? Tunakosea wapi?