Tuna mabinti kama huyu, Wasudani wa nini?

Mama ako si mbongo

Shida sio kuwa mbongo.. shida ni elimu kubwa kama ya udaktari.

Nashukuru mama yangu pia ni high value woman maana ana elimu ya uhasibu..na amefanya kazi kama mhasibu mpaka alivyostaafu.

Wanawake wasio na elimu hata awe mzuri vipi ni low value woman.

Wanachojua ni kupanua mapaja tu
 
Watu wa afya wanatushauri kwamba maumivu yakizidi muone daktari

Halafu we unabeza kitendo cha mtu kwenda kumuona daktari msudani?
Kumbe ni madaktari nilijua ni wanafunzi yaani hapo nawaona Mario wakijisogeza 😬😁😁
 
Back
Top Bottom