Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

Ameyataka mwenyewe Hayati , yale yote ambayo aliyoyafanya kwa siri yatajulikana. Hata kama kuna miradi aliifanya bila kuonesha matumizi ya pesa wananchi watataka maelezo. Stigler na SGR hazikuwahi kukaguliwa toka miradi ilivyoanza sipati picha ukaguzi ukifanyika...
 
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
Mmiliki wa Home Shopping Centre amwagiwa tindikali usoni
LWAKATARE AACHIWA HURU NA KUKAMATWA PAPO HAPO
MAHAKAMA YAMUACHIA HURU MHARIRI ABSALOM KIBANDA NA WENZAKE
 
Huyo Behaviourist ni mpuuzi kila siku kufikiria chura mchagga huyo
Kwa hiyo upana,mitaro na urefu vimeongezwa kwa TZS 71.85 billion katika barabara yenye urefu wa 4.3KM?

Unaelewa gharama ya kutengeneza barabara kilomita moja kwa kiwango cha lami kwa makadirio ni TZS ngapi?
 
Hili ndilo tatizo kubwa la awamu ya tano. Kukosekana uwazi na uhuru wa kutoa taarifa fasaha za shughuli za umma kumeacha uvumi (speculations) wa kila aina kuhusu matumizi ya pesa na ufisadi.

Vyanzo vya pesa na matumizi yake hasa kwenye miradi mikubwa ya ujenzi na ununuzi wa mitambo ni siri kuu (top secret) ya serikali. Wananchi wanatakiwa kuishi kwa imani tu! Asili ya binadamu haiko hivyo. Leo hata maaskofu wanahojiwa kwa tuhuma za ufisadi.
Akina Makamba wametunga. Ni ma bingwa wa ku spin. Ila this time watakwama. Kama Salim Ahmed Salim alizushiwa ni mhizibu na mpaka kitabu kikatungwa, wajue kila baya linamwisho wake, na safari hii watakimbia nchi hasa wananchi wakiamua. Maana kula kukicha wanatunga story mbaya za Dkt Magufuli ili watu waone eti wizi na ufisadi Tanzania ni kawaida. Ni kama yule prof muhuni aliyeleta issue ya 1.5 tr mpaka leo wahuni is wanaamini eti serikali iliiba hizo hela, sasa wametunga uongo mwingine wa 4.3 bil. Uzuri Dkt Magufuli alitufungua macho, na watunge hata kitabu cha kumtusi Dkt Magufuli ila wananchi tunazidi kumependa sana.
 
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
As long as is a head of the state, all what is done under his leadership, he will shoulder the blame! Where is Ben, Azory, maiti za sandarusi, MKIRU etc etc
 
Global TV sijui wanajipendekeza, eti hii wanasema ya Magufuli ni nyingine tofauti na ya wajapani.
YA MAGUFULI
Morocco.jpg
YA WA JAPANI
Morocco ya samia.jpg
 
Ivi ukisema kujenga barabara ya 1 km ni 1B unakuwa unamaanisha nini hasa kutakuwa na usawa kujenga barabara za mijini ambazo zina alama kibao za barabarani na mataa na kwa mfano hii ya moroco ni kama ina barabara za mwendokasi iwe gharama sawa na kujenga highway ya kutoka chalinze morogoro!?
 
Back
Top Bottom