abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,154
Nan alimtuma ateke na aue
Maumivu aliyoacha nimakubwa Sana, hata mama wanavyomponda kwa misukosuko mwanzilishi ni yeye, so hana pakushushiwa lawamaMsela alisha sepa ila kila kukicha magu magu
Utetezi mwepesi sana huuWao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Milioni 800 mpaka 1 B kwa kmKwa hiyo TZS 71.85 billion imejenga barabara yenye urefu wa 4.3KM?
Unaelewa gharama ya kutengeneza barabara kilomita moja kwa kiwango cha lami kwa makadirio ni TZS ngapi?
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
Zikiwa 4 lanes manaake ni 4B kwa kilometre moja.Milioni 800 mpaka 1 B kwa km
Kwa hiyo upana,mitaro na urefu vimeongezwa kwa TZS 71.85 billion katika barabara yenye urefu wa 4.3KM?Huyo Behaviourist ni mpuuzi kila siku kufikiria chura mchagga huyo
Takwimu ya uongo iliyoongezwa ni ipi?Chuki mbaya sana tena kwa unaa mtu akaongeza na takwimu za uongo ilimradi tu mwamba aonekana mbaya....mtaumwa uharo huu mwaka
Akina Makamba wametunga. Ni ma bingwa wa ku spin. Ila this time watakwama. Kama Salim Ahmed Salim alizushiwa ni mhizibu na mpaka kitabu kikatungwa, wajue kila baya linamwisho wake, na safari hii watakimbia nchi hasa wananchi wakiamua. Maana kula kukicha wanatunga story mbaya za Dkt Magufuli ili watu waone eti wizi na ufisadi Tanzania ni kawaida. Ni kama yule prof muhuni aliyeleta issue ya 1.5 tr mpaka leo wahuni is wanaamini eti serikali iliiba hizo hela, sasa wametunga uongo mwingine wa 4.3 bil. Uzuri Dkt Magufuli alitufungua macho, na watunge hata kitabu cha kumtusi Dkt Magufuli ila wananchi tunazidi kumependa sana.Hili ndilo tatizo kubwa la awamu ya tano. Kukosekana uwazi na uhuru wa kutoa taarifa fasaha za shughuli za umma kumeacha uvumi (speculations) wa kila aina kuhusu matumizi ya pesa na ufisadi.
Vyanzo vya pesa na matumizi yake hasa kwenye miradi mikubwa ya ujenzi na ununuzi wa mitambo ni siri kuu (top secret) ya serikali. Wananchi wanatakiwa kuishi kwa imani tu! Asili ya binadamu haiko hivyo. Leo hata maaskofu wanahojiwa kwa tuhuma za ufisadi.
As long as is a head of the state, all what is done under his leadership, he will shoulder the blame! Where is Ben, Azory, maiti za sandarusi, MKIRU etc etcWatu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
Nilidhani wahaya wote Ni werevu kumbe Kuna majinga.Hiyo Barabara ilijengwa kwa hiyo hela ya sherehe ya Uhuru na tuliiona over.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mbona hamuhoji Mirad alio jenga pasipo watu kujua katoa pesa wap?Tutajuaje kuwa kuna jambo la maana alifanya bila ya kuwepo na uwazi?Yeye ni Mungu hadi tumwamini?
Miradi ipi hiyo kajenga pasipo kujua katoa pesa wapi?Mbona hamuhoji Mirad alio jenga pasipo watu kujua katoa pesa wap?