Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Wao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Jambo gani la maana? Lisemwe sasa...
Wao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Mkuu ungekuwa mkazi wa Maeneo husika wala usingehangaika kuandika utumbo huu.. Hizo pesa za Magufuli zilitumika ndani ya hiyo barabara kandarasi mmoja hivi mhindi mpuuzi kabisa kama alivyo mpuuzi mwingine anayejenga barabara ya mwendokasi ya mbagala/Keko n.k ile barabara ilikuwa na changamoto kipindi kile mashimo mashimo na wembamba wake foleni hatari na uhakika pesa zilitumika zikarekebisha ubovu ule na japo kulikuwa na mpango wa wajapani wa kujenga hiyo barabara ila ilikuwa hamna namna kuiweka at least ipitike vizuri so usilamu kipindi hiki wakati muda ushapita...Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.
Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.
Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!
Hujajibu maswali ya msingi.Je,ni sawa TZS 71.85 billion kutumika katika kujenga barabara yenye urefu wa 4.3KM?Mkuu ungekuwa mkazi wa Maeneo husika wala usingehangaika kuandika utumbo huu.. Hizo pesa za Magufuli zilitumika ndani ya hiyo barabara kandarasi mmoja hivi mhindi mpuuzi kabisa kama alivyo mpuuzi mwingine anayejenga barabara ya mwendokasi ya mbagala/Keko n.k ile barabara ilikuwa na changamoto kipindi kile mashimo mashimo na wembamba wake foleni hatari na uhakika pesa zilitumika zikarekebisha ubovu ule na japo kulikuwa na mpango wa wajapani wa kujenga hiyo barabara ila ilikuwa hamna namna kuiweka at least ipitike vizuri so usilamu kipindi hiki wakati muda ushapita... tukienda hivi tuwalaumu basi na kajima waliokuwa wakijenga barabara ile ya morogoro road hadi pale jangwani ambao ndio walikuja kuweka njia nne maana ilikuja tena kujengwa na strabag kama tunakuwa wajinga tusioendana na muda husika wa matukio.... Mwishowe mtakuja sema hadi wale wa kwenye vitabu vya Dini waliokuwa wakipigana kwa Mapanga mtasema wajinga na kwanini hawakutumia Bunduki! ndio akili za Watanzania wengi ni wapumbavu kama wewe... Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Prof. ASAD: Pesa 1.5 trillion hazionekani.Wao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
they are overwelmingly preoccupied with Magufulism without magufuli.
Alipoulizwa live mbona hakusema hazipo? Such a weak muthafuqin clown.Prof. ASAD: Pesa 1.5 trillion hazionekani.
Wait a minute... unasema??Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Tatizo ni Watanzania. Kitu hawajui ni kuwa mfumo (wa ccm) uliotufikisha kwenye hizi changamoto tulizonazo leo hauwezi kuwa mfumo sahihi wa kutuvusha!!Tukisema CCM ni majambazi muwe mnaelewa. Mikataba ya ujenzi yote kipindi cha magu ilikua inapambwa kwa mwembwe na sherehe nyingi. Hii ya mwenge-moroco naona mkataba ulisainiwa kimya kimya kwa kuwa tulishapigwa changa kuwa barabara inajengwa kwa pesa ya sherehe za uhuru.
Hatimaye sasa imefahamika kuwa si fedha za sherehe bali ni msaada wa mabeberu. Sasa wazee wa dona kantri sasa hivi wanajificha kwenye shamba la karanga
IdiotWao wanahisi hizo hela Magufuli kala! Hata kama hazikwenda hapo Morrocco ila lazima kuna jambo la maana alifanyia
Hhyo jamaa aliharibu sana nchi, mara nyingi ma dikteta husewa sana hata yakifarikiMsela alisha sepa ila kila kukicha magu magu
Labda kama hujui.Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.
Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.
Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!
Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.
Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.
Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.
Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
View attachment 2034690
kira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk