Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

Behaviourist

JF-Expert Member
Apr 8, 2016
39,902
95,407
Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.

Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.

Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!

Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.

Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.

Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.

Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
3024139_sbH.jpg

173829.jpg
 
Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.

Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.

Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!

Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.

Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.

Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.

Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
3024139_sbH.jpg


View attachment 2034690
Yale yalikuwa ni maigizo ilipesa zipigwe vizuri
 
Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.

Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.

Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!

Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.

Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.

Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.

Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
3024139_sbH.jpg


View attachment 2034690
Nyumbu aliyewapa zigo la laana amewatesa sana huwa mnahangaika na non sense issues
 
Fikila za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Kwa hiyo upana,mitaro na urefu vimeongezwa kwa TZS 71.85 billion katika barabara yenye urefu wa 4.3KM?

Unaelewa gharama ya kutengeneza barabara kilomita moja kwa kiwango cha lami kwa makadirio ni TZS ngapi?
 
Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.

Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.

Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!

Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.

Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.

Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.

Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
3024139_sbH.jpg


View attachment 2034690
Utaambiwa zimejenga madaraja
 
Mjomba hebu acha matumizi ya hii picha, kama vile tunavyopigania haki za wengine basi na haki ya marehemu ithaminiwe pia.

Mjomba nakusoma ila bila kuwapigia kelele sawa sawa hawa mabaradhuli hawawezi kutambua uovu wao uliopitiliza.

Kingai, Mahita, Goodluck na Jumanne wajue tunawasubiria kwa hamu. Wana maelezo muhimu ya kutupatia.
 
Fikila za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
HUNA SHUKRANI KABISA NAAMINI KM UPO DAR ULIKUWA UNAPITA HIYO BARABARA, WATANZANIA HATA AJE MALAKIKA ...... JPM HACHAFUKI HATA UFANYEJE.
 
Back
Top Bottom