Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Sijui kwa nini hawa wahuni wanataka kudanganya. Yaani wanatunga uongo. Watuambie ile Hospital ya Uhuru Dodoma hela zilitoka wapi??? Yaani hawa mafisadi acha waenjoy kidogo kikija chuma kingine ni wa kuwekwa pembeni tu ili nchi ibaki na wazalendo wenye nia ya dhati kwa maendeleo ya Tanzania ya sasa na vizazi.
 
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
Kweli kabisa.
 
Wananchi wanataka maelezo na uwazi katika kutekeleza miradi ya maendeleo na siyo longo longo!

Sasa serikali inashindwa vipi kutoa ufafanuzi?
Hili ndilo tatizo kubwa la awamu ya tano. Kukosekana uwazi na uhuru wa kutoa taarifa fasaha za shughuli za umma kumeacha uvumi (speculations) wa kila aina kuhusu matumizi ya pesa na ufisadi.

Vyanzo vya pesa na matumizi yake hasa kwenye miradi mikubwa ya ujenzi na ununuzi wa mitambo ni siri kuu (top secret) ya serikali. Wananchi wanatakiwa kuishi kwa imani tu! Asili ya binadamu haiko hivyo. Leo hata maaskofu wanahojiwa kwa tuhuma za ufisadi.
 
Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk
Hii biashara ya nk hii 🤔🤔 watu wanataka reality in open qoutations na sio maneno! Uwaz na uwajibikaj ni muhimu sana kuliko majibu ya maneno matupu.
 
Ila yy aliruhusiwa kutukana wenzake iblis atabaki kuwa iblisi tu
Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana Rais, ukiingia mtandaoni unamtukana Rais. kumbuka Rais ni taasisi, yawezekana hata huyo rais hajui ni watu gani wanakuchkulia hatua. Punguzeni jazba.
 
U geuliza kwanza tunatumia kiasi gani kwa sherehe za uhuru mwaka huu?midege inaruka huko angani na shughuli yenyewe ni ya si zaidi ya masaa 4....
 
Hili ndilo tatizo kubwa la awamu ya tano. Kukosekana uwazi na uhuru wa kutoa taarifa fasaha za shughuli za umma kumeacha uvumi (speculations) wa kila aina kuhusu matumizi ya pesa na ufisadi.

Vyanzo vya pesa na matumizi yake hasa kwenye miradi mikubwa ya ujenzi na ununuzi wa mitambo ni siri kuu (top secret) ya serikali. Wananchi wanatakiwa kuishi kwa imani tu! Asili ya binadamu haiko hivyo. Leo hata maaskofu wanahojiwa kwa tuhuma za ufisadi.
Ili kurekebisha hilo tuanze na uwazi kabla ya ujenzi wa bagamoyo haujaanza maana mnasema mama ni msikivu! Aweke mzigo live uchambuliwe kabla hawajaupitisha😅
 
Njaa mbaya sana,mnalipwa ngapi ndio mjitafutie laana?Magufuli hachafuki na anaendelea kupata umaarufu.
Magufuli ndiye Rais fisadi bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
20211206.jpg
1638703545.jpg
1782762_tapatalk_1528448721303.jpeg
 
Hiyo barabara kilichofanyika sana ni sewage system mpya ambayo mwanzoni haikuwepo
 
baadae Serikali ya Japan ikaleta fedha lakini nadhani kwakuwa zilikuwa zimeshapangwa na kupigiwa mahesabu kutumika barabara ya Morocco ikabidi zizame tena hapohapo..
Kwa hiyo TZS 71.85 billion imejenga barabara yenye urefu wa 4.3KM?

Unaelewa gharama ya kutengeneza barabara kilomita moja kwa kiwango cha lami kwa makadirio ni TZS ngapi?
 
Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru zilizokuwa zifanyike December 2015 zikapanue barabara ya Morocco-Mwenge kufikia njia 5.

Pesa za maadhimisho ya sherehe za uhuru 2015 zaidi ya shs. 4bn, serikali ya CCM tuelezeni zilienda wapi kama Japan walitotoa Shs. 71.8bn.

Hizo fedha alizoagiza Magufuli kuwa zikatanue barabara hii zilienda wapi?!

Hii ina maana huenda hata fedha nyingine zilizokuwa zinatokana na kutokufanyika shughuli nyingine za kitaifa kama vile nanenane na kadhalika zilikuwa zinafanyiwa ufisadi pia.

Muda ni mwalimu mzuri sana katika kuumbua.Naamini muda unavyozidi kwenda tutazidi kugundua ufisadi zaidi uliofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano pamoja na awamu hii ya sita.

Lakini pia cha kushangaza zaidi ni kwamba barabara hiyo yenye urefu wa km 4.3 tu sasa hivi imekuja kujengwa kwa gharama ya TZS 71.85 billion.

Ni vyema sasa CCM wakiri wenyewe kwa vinywa vyao kuwa wameshindwa kuongoza nchi hii na wakae pembeni bila shuruti.
3024139_sbH.jpg

View attachment 2034690
Chuki mbaya sana tena kwa unaa mtu akaongeza na takwimu za uongo ilimradi tu mwamba aonekana mbaya....mtaumwa uharo huu mwaka
 
Back
Top Bottom