Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,046
- 12,545
Sijui kwa nini hawa wahuni wanataka kudanganya. Yaani wanatunga uongo. Watuambie ile Hospital ya Uhuru Dodoma hela zilitoka wapi??? Yaani hawa mafisadi acha waenjoy kidogo kikija chuma kingine ni wa kuwekwa pembeni tu ili nchi ibaki na wazalendo wenye nia ya dhati kwa maendeleo ya Tanzania ya sasa na vizazi.Fikira za watanzania za ajabu..hizo billion nne zilipanua kutoka two lane wakaweka 3 lane..hzi zilizokuja zimeongeza upana na urefu na mitaro nk