Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 5,094
- 11,890
Tumsikilize Askofu hapo chini ;
Well , kuna mmoja alihoji mbona Kenya iliweza kukitoa chama tawala kabla ya reforms ?
- Kenya sio Tanzania, Kenya wapo mbele ya muda sana. Kwenye Uchaguzi Polisi na Jeshi huwa wanakuwa upande wa wananchi ndio maana walifanikiwa.
Tanzania Jeshi na Polisi kwenye Uchaguzi hawapo Neutral….wanakuwa side ya CCM…. Ndio maana by now , Samia ni Rais already .Mtake Msitake, Mchague Msichague….yeye ni Rais hadi 2030. Hivyo mnaenda kupoteza muda na kuingia kwenye uchaguzi hewa.
Hatuwezi kuwa na MSHINDANI ambae anaenda kuchagua marefa wa kuchezesha mpira ambao na yeye anacheza. Only for ignorants !
HATUWEZI kuwa na Uchaguzi ambao… process zake haziwezi kwenda KUHOJIWA MAHAKAMANI. Matokeo yakishatangazwa huna haki ya kwenda mahakamani kupinga MATOKEO.
Mwandishi wa Katiba ya CCM ndio Mwandishi wa Katiba ya Nchi, ndio Maana hata Samia kapita kwa Azimio.
Mnasema, Uchaguzi Ufanyike kwanza ndio Chadema idai Reform , are you guys mad? Ni lini mtajifunza Ukweli?
Mkishafanya Uchaguzi imeisha…hiyo
Jeshi na Polisi wajifunze ku reason , je kudai reform ni kuvuruga amani? Wasiwe robot…God gave them brain 🧠 . Mtakuja kuamrishwa na viongozi wahuni siku moja mtashangaa!
Nchi ipo kwenye Deni kubwa, tunategemea misaada na Mikopo
; toka lini misaada na kukopa ikaleta maendeleo, ?
Malawi inaongoza kwa kukopa na kupewa misaada since independence, by now , Malawi ni poorest country in Africa. Mikopo na Misaada haijawahi kuwa Solution ya Umasikini. Solution ya Umasikini ni CCM kutoka madarakani…, nyie ndio cut off point yaani mkitoka nyie…. Umaskini na hali duni zitapungua by 60%
Chadema ndio Chama kikuu Tanzania ambacho kinatetea maslahi ya Tanzania. Hayo mavyama mengine hayana impact na hayapo kwa ajili ya watanzania bali RUZUKU hivyo wanahaki ya kushiriki huo Uchafuzi
Chadema ina impact kubwa kwa Taifa and in 2020 we learned the hard way ….it was historical lesson …. We can’t do the same mistake .
It is now or Never….. Reform ni Mandatory
Mandatory
Mandatory
Dr . Megalodon Mushi, PhD Fellow
University of Ottawa,
WHO Regiona Office-Senior Expert
Rue 52,
Ottawa
Canada
Well , kuna mmoja alihoji mbona Kenya iliweza kukitoa chama tawala kabla ya reforms ?
- Kenya sio Tanzania, Kenya wapo mbele ya muda sana. Kwenye Uchaguzi Polisi na Jeshi huwa wanakuwa upande wa wananchi ndio maana walifanikiwa.
Tanzania Jeshi na Polisi kwenye Uchaguzi hawapo Neutral….wanakuwa side ya CCM…. Ndio maana by now , Samia ni Rais already .Mtake Msitake, Mchague Msichague….yeye ni Rais hadi 2030. Hivyo mnaenda kupoteza muda na kuingia kwenye uchaguzi hewa.
Hatuwezi kuwa na MSHINDANI ambae anaenda kuchagua marefa wa kuchezesha mpira ambao na yeye anacheza. Only for ignorants !
HATUWEZI kuwa na Uchaguzi ambao… process zake haziwezi kwenda KUHOJIWA MAHAKAMANI. Matokeo yakishatangazwa huna haki ya kwenda mahakamani kupinga MATOKEO.
Mwandishi wa Katiba ya CCM ndio Mwandishi wa Katiba ya Nchi, ndio Maana hata Samia kapita kwa Azimio.
Mnasema, Uchaguzi Ufanyike kwanza ndio Chadema idai Reform , are you guys mad? Ni lini mtajifunza Ukweli?
Mkishafanya Uchaguzi imeisha…hiyo
Jeshi na Polisi wajifunze ku reason , je kudai reform ni kuvuruga amani? Wasiwe robot…God gave them brain 🧠 . Mtakuja kuamrishwa na viongozi wahuni siku moja mtashangaa!
Nchi ipo kwenye Deni kubwa, tunategemea misaada na Mikopo
; toka lini misaada na kukopa ikaleta maendeleo, ?
Malawi inaongoza kwa kukopa na kupewa misaada since independence, by now , Malawi ni poorest country in Africa. Mikopo na Misaada haijawahi kuwa Solution ya Umasikini. Solution ya Umasikini ni CCM kutoka madarakani…, nyie ndio cut off point yaani mkitoka nyie…. Umaskini na hali duni zitapungua by 60%
Chadema ndio Chama kikuu Tanzania ambacho kinatetea maslahi ya Tanzania. Hayo mavyama mengine hayana impact na hayapo kwa ajili ya watanzania bali RUZUKU hivyo wanahaki ya kushiriki huo Uchafuzi
Chadema ina impact kubwa kwa Taifa and in 2020 we learned the hard way ….it was historical lesson …. We can’t do the same mistake .
It is now or Never….. Reform ni Mandatory
Mandatory
Mandatory
Dr . Megalodon Mushi, PhD Fellow
University of Ottawa,
WHO Regiona Office-Senior Expert
Rue 52,
Ottawa
Canada