Tumsikie Laigwan akiongea English

Tumsikie Laigwan akiongea English

Hivi Mbona ukabila unakua sana HAPA Jf, nyuzi za kipumbavu kama Hizi moderators ndizo wanaziacha, za kuelimisha zinaondolewa.
 
Nyie mnaringia hiro riengrish mimi najua kisukuma kinyeramba kingoni kiyaha na ware watani zangu wazaramo
Najua rugha miambiri ishirini na mbiri

Msinijaribu
 
Hivi Mbona ukabila unakua sana HAPA Jf, nyuzi za kipumbavu kama Hizi moderators ndizo wanaziacha, za kuelimisha zinaondolewa.
tukubaliane kimsingi mkuu..wasukuma wote kiengereza chao ni cha mashaka hasa Pronounciation yao ni kichefuchefu kabisa..
 
Haaaaaa.. mzee anatema pidgin english sanaaaa...!!

Hapa kuna mtu anasemwa hajui Kiingereza... | Chochezi |
 
Nimesoma nao wengi wanaweza,,ila kulikuwa na mmoja,,duuuu,,,Nouma sana,,,
 
Kama kweli wewe unajua kiingereza ilibidi ulete post hii kwa kiingereza na sio kuponda eti wasukuma hawajui kiingereza, inasikitisha sana kudharauliana kiasi hiki, mimi ni msukuma na siku zote sipendi kudharau au kuandika au kupost bandiko lolote lenye kuleta misingi ya kibaguzi,
Unaposema wasukuma hatujui kiingereza nashindwa kufahamu umetumia sample size gani mpaka uhukumu jamii inayokalia 20% ya watu wote Tanzania.

Wewe ndo hujui hicho kiingereza ila unaona ngao ya kukukinga ni wasukuma.
 
Jiwe la gizani hilo likimpata lazima apige kelele
 
K**ma nhoco
Kuna kazee kasukuma kalikuwa kanatukana kwa namna ya aina yake mtaani kwetu.

Kalikuwa kanakwambia "tokomanyoko"! Tafsiri yake tutakutana huko kwa kiswahili. Ila inatamkika kama tusi tena kwa kiswahili. Hivyo ndivyo Ngosha mwenzangu alivyotukana very genious.
 
Nyie mnaringia hiro riengrish mimi najua kisukuma kinyeramba kingoni kiyaha na ware watani zangu wazaramo
Najua rugha miambiri ishirini na mbiri

Msinijaribu
Icho kitakusaidia kuowa wake hata 6[emoji384] [emoji385] hizo sahau
 
Back
Top Bottom