Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Leo nimemuona O Ten maeneo ya Juwata hapa Morogoro Mjini. Sasa bahati mbaya sikuwa nimemjua ila vijana wa Bajaji wanaenda Kilakala wakamuita ndiyo nikashtuka kumbe huyu ni O Ten.
Jamaa amechoka sana, Maisha yake mabov, I wish niseme tumchangie maana ana Maisha magumu sana. Nimeongea nae mambo kadhaa akanambia Maisha yake sio Mazuri na analala Kwa Watu tu, kimsingi amekonda Sana.
Any way Tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Jamaa amechoka sana, Maisha yake mabov, I wish niseme tumchangie maana ana Maisha magumu sana. Nimeongea nae mambo kadhaa akanambia Maisha yake sio Mazuri na analala Kwa Watu tu, kimsingi amekonda Sana.
Any way Tumshukuru Mungu kwa kila jambo