Tumshauri Zitto...

Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.
Zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana CDM kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. Awaheshimu viongozi wake.
  2. Akemee wana CCM wanaotamani CDM kusambaratika.
  3. Aheshimu chama chake kama ambavyo kina Mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa CCM yao.
  4. Awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya CCM na serikali
  5. Awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

Mengine mnaweza kuongeza.

ZITTO NI ZAIDI YA CHADEMA, mpende msipende

mkimfukuza ndio mtampa chati
 
mnahangaika sana,,,hayo yote manne anayafanya kila siku,,naona sasa bora muwashauri wale wanaotumia RUZUKU NA FEDHA ZA CHAMA HOVYO wakipende chama coz kula fedha za chama ni kukichukia chama. Je umewahi kuwashauri au ndio watangaza neno la kinafiki kama afanyavyo msigwa?????

Mnafiki ni wewe unayetumiwa na CCM usione wanavyoua ndugu zetu.

Akili yako ina walakini
 
Wanajamvi nawatakia xmas njema na khery ya mwaka mpya.
Dhumuni la kufungu thread yangu leo,ni kuhusiana na mambo yanayoendelea kati ya zito na vingozi wake ndani ya chadema.
Kwanza kabisa naomba niwe wazi kabisa, ya kwamba mimi sivutiwi na siasa anazozifanya zito period.
Nichotaka kukushauri na kukuomba,kwanini usiondoke cdm ili utuachie chama chetu?alafu kwanza ulikwisha wai kusema utaachana na siasa! Sasa kwanini unaleta vibwanga au ndio unafanya siasa za chuki na kulipiziana visasi?
Atanaivyo nasikia kigoma inaongozwa na upinzani,tena cha kufurahisha inaonekana nccr ndiyo yenye nguvu kwa upinzani kuliko cdm. Sasa kwanini usiende huko?
Kwa style hii sisi wanachama wa chadema tunazidi kuamini wewe ni pandikizi umepandikizwa kwa malengo flani. Kwa mimi binafsi ninazidi kukuchukia kupitiliza.
 
Sio yeye msamehe ni hela za ccm kala pesa mingi kutoka Lumumba atalipaje huyu ni msaliti tu nalazima tumtimue ndani ya chama takataka haziwezi kubaki baharini lazima ziende kando.
 
Sio yeye msamehe ni hela za ccm kala pesa mingi kutoka Lumumba atalipaje huyu ni msaliti tu nalazima tumtimue ndani ya chama takataka haziwezi kubaki baharini lazima ziende kando.

mkuu! Kwaiyo dhumini lake lilosalia ni kutugombanisha? Binafsi naona ni heri atoke ndani ya cdm ili aweze kuishambulia vizuri chadema. Kwani unapokua ndani ya cdm naamini hatoweza kuishambulia vizuri.
 
Wanajamvi nawatakia xmas njema na khery ya mwaka mpya.
Dhumuni la kufungu thread yangu leo,ni kuhusiana na mambo yanayoendelea kati ya zito na vingozi wake ndani ya chadema.
Kwanza kabisa naomba niwe wazi kabisa, ya kwamba mimi sivutiwi na siasa anazozifanya zito period.
Nichotaka kukushauri na kukuomba,kwanini usiondoke cdm ili utuachie chama chetu?alafu kwanza ulikwisha wai kusema utaachana na siasa! Sasa kwanini unaleta vibwanga au ndio unafanya siasa za chuki na kulipiziana visasi?
Atanaivyo nasikia kigoma inaongozwa na upinzani,tena cha kufurahisha inaonekana nccr ndiyo yenye nguvu kwa upinzani kuliko cdm. Sasa kwanini usiende huko?
Kwa style hii sisi wanachama wa chadema tunazidi kuamini wewe ni pandikizi umepandikizwa kwa malengo flani. Kwa mimi binafsi ninazidi kukuchukia kupitiliza.

Hizo ndo wazee wa kale walisema mfa maji haachi kutapatapa. Unajua ukweli ukishadhihiri hakuna silaha iliyokali dhidi ya ukweli. Anachojaribu kufanya ZZK ni kuwadanganya wale wasiojua ukweli. Wahenga walisema ukishamjua adui yako ujue uko salama, Niwatake viongozi na wanachama wa CHADEMA waendelee na agenda nyingine tu maana hii tayari ni dhahiri imeshakwisha, watatumia gharama za walipa kodi kuendelea kufadhili ZZK lakini naamini ukweli utaendelea kudhihiri tu.

Kila enzi na kitabu chake, enzi za kitabu cha zzk kimeshapita sasa tuangalie mengine tu,
 
Huna cha kuongea kwa nini usikae ule mandazi na watoto kuliko kuandika vioja humu wewe nani ndani ya chadema toa kelele zako humu zitto ndiyo mwenye chadema.
 

Hizo ndo wazee wa kale walisema mfa maji haachi kutapatapa. Unajua ukweli ukishadhihiri hakuna silaha iliyokali dhidi ya ukweli. Anachojaribu kufanya ZZK ni kuwadanganya wale wasiojua ukweli. Wahenga walisema ukishamjua adui yako ujue uko salama, Niwatake viongozi na wanachama wa CHADEMA waendelee na agenda nyingine tu maana hii tayari ni dhahiri imeshakwisha, watatumia gharama za walipa kodi kuendelea kufadhili ZZK lakini naamini ukweli utaendelea kudhihiri tu.

Kila enzi na kitabu chake, enzi za kitabu cha zzk kimeshapita sasa tuangalie mengine tu,
Wewe ni chadema chumbani au chadema sebureni.
 
Nccr wenyewe hawamtaki Zitto kama munakumbuka Machari alishasema kwamba huyo bwana mdogo akienda Nccr ataondoka kwani anamjua.nikipindi kile cha jaribio la mapinduzi la kafulira dhidi ya mwenyekiti wa Nccr taifa.Chezea damu ya kigoma wewe!
 
wewe ndio kati ya wa.pu.uzi na wa.ji.nga ambao wanazidi kutuweka ndani ya mjadala wa chuki huku hatupati mwafaka. Mwanachadema mwenye kutaka mabadiliko hawezi kuandika kwa sasa utumbo wa namna hii. Kaa usubili viongozi watakuja na suruhisho gani sio kuandika andika tu.
 
Huna cha kuongea kwa nini usikae ule mandazi na watoto kuliko kuandika vioja humu wewe nani ndani ya chadema toa kelele zako humu zitto ndiyo mwenye chadema.
Kama ndio mwenye CDM mbona mbona anakibomoa propaganda za kitoto peleka chekechea tanyu lini mfuasi wa Mungu kwa dhati kabisa akapendwa na shetani.yaani mfuasi wa chadema kwa dhati kabisa akapendwa na shetani(magamba).hayo ndio ya Zitto.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom