Tumshauri Zitto...

Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.
kwako yupo kimya..eh.Akionge aitakuweje?Sasa hivi anamwaga chuki zake dhini ya wachaga, huku akijidai kuwa ana devide and rule wachaga..haha.What a useless move.

Huyu dogo kuisha kwake kisiasa hakuepukiki
 
Zitto ni kama Train lililokatika breki, kudondoka ndio kinga pekeee
 
..unajua maana ya uhafidhina...kuso lake ukiacha mengine ni kuleta utengeno badala ya umoja....kwa sasababu ya njaa ya fedha...with poor egoisim

wapi kaleta kuwagawa wanachama wa chadema? akili za kuambiwa hizi
 
CDM ni mfumo si mtu mmoja.
 
Zitto ni sawa na Osama sema tofauti yao ni kwamba Osama ni Tahlban na Zitto ni Masalia.
 
Last edited by a moderator:
Zitto hafai kuwa mwanachama wa CDM. One of 47 laws of powers (''do not overshine your master''), hapa masters ni viongozi wa juu wa CDM na chama chenyewe, inaonyesha asivyoweza kufika mbali kisiasa na hata kijamii, miaka mitatu tuu ijayo atasahaulika kabisa.

Ni wakati muafaka kwa viongozi wa juu kutumia moja ya kanuni hizi (laws of powers) kumfutia kabisa uanachama. Zitto ni nyoka mwenye sumu!
 
MH ZITO watu wengi wanashindwa kumuelewa na nimeona watu wengi wakihangaika kwamba kwann anafanya hiki kwa nn asifanye hiki, mimi namfahamu vizuri mh zito si mwanasiasa mwoga he do what he believes is right. KAMA KUNA MTU ANASUBURI kumtisha au kumfanya aogope kilenachosimamia anajisumbua sana.
always hufanya mambo yake kwa kutumia rational thinking na hivo anakuwa katika rational decision si mtu wa kukurupuka kama baadhi ya wanasiasa

ZITTO15.JPG
 
MH ZITO watu wengi wanashindwa kumuelewa na nimeona watu wengi wakihangaika kwamba kwann anafanya hiki kwa nn asifanye hiki, mimi namfahamu vizuri mh zito si mwanasiasa mwoga he do what he believes is right. KAMA KUNA MTU ANASUBURI kumtisha au kumfanya aogope kilenachosimamia anajisumbua sana.
always hufanya mambo yake kwa kutumia rational thinking na hivo anakuwa katika rational decision si mtu wa kukurupuka kama baadhi ya wanasiasa wengi.

Kwa hili la mapinduzi ndani ya chama kakurupuka mjomba!
 
Zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana CDM kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. Awaheshimu viongozi wake.
  2. Akemee wana CCM wanaotamani CDM kusambaratika.
  3. Aheshimu chama chake kama ambavyo kina Mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa CCM yao.
  4. Awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya CCM na serikali
  5. Awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

Mengine mnaweza kuongeza.

Pia Kama mwenyekiti wa PAC namshauri afichue mabilioni yanayotumiwa na wanaomsapoti wakati Huu na Jana yanatoka akaunti ipi na source yake ni ipi isije I kawa fedha za umma zinatumiwa vibaya kumsaporti halafu wakamuumbua
 
MH ZITO watu wengi wanashindwa kumuelewa na nimeona watu wengi wakihangaika kwamba kwann anafanya hiki kwa nn asifanye hiki, mimi namfahamu vizuri mh zito si mwanasiasa mwoga he do what he believes is right. KAMA KUNA MTU ANASUBURI kumtisha au kumfanya aogope kilenachosimamia anajisumbua sana.
always hufanya mambo yake kwa kutumia rational thinking na hivo anakuwa katika rational decision si mtu wa kukurupuka kama baadhi ya wanasiasa wengi.

Naona mweshimiwa umekuja na acount nyingine haaahaaahaaaa hongera kwa mkutano ulio fanya nyumbani kwenu kigoma.
 
zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana cdm kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. awaheshimu viongozi wake.
  2. akemee wana ccm wanaotamani cdm kusambaratika.
  3. aheshimu chama chake kama ambavyo kina mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa ccm yao.
  4. awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya ccm na serikali
  5. awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

mengine mnaweza kuongeza.

ni lini na ni wapi zitto ameshindwa kuwaheshimu viongozi wake?

Ni lini na ni wapi zitto ameshindwa kuwa mtiifu kwa chama chake?

Zitto ni mtiifu kwa chama,viongozi na wanachama na ndio maana ana wavumilia mkimtukana, zitto amzungumzii mtu jukwaani lakini hao so called viongozi ndio wanamzumzia kila leo na anawavumilia.

Zitto hawezi kuwazui watu kumsifia au kumpenda maana matendo yake ndio yanawafanya watu wampende hata wa ccm hasa kwa uzalendo wake.
Hata ccm wamekuwa wakimsifu mnyika refer to lukuvi na makinda.

Tatizo chadema mnachukulia siasa kama vita ndio maana hata kizuri hamtaki kisifiwe.

Ni lini na ni wapi zitto alisema yeye ni zaidi ya chadema?
Sisi tunae muona uwezo wake ndio tunaona yeye ni zaidi ya chadema.

Mimi nafikiri wewe ndio una hitaji ushauri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom