Tumshauri Zitto...

Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.
mkuu! Kwaiyo dhumini lake lilosalia ni kutugombanisha? Binafsi naona ni heri atoke ndani ya cdm ili aweze kuishambulia vizuri chadema. Kwani unapokua ndani ya cdm naamini hatoweza kuishambulia vizuri.

sinaimani kama ulishawahi kufanya uchunguzi juu ya yale asemayo zto juu wenye chama wale wazee wa ruzuku.
 
Huna cha kuongea kwa nini usikae ule mandazi na watoto kuliko kuandika vioja humu wewe nani ndani ya chadema toa kelele zako humu zitto ndiyo mwenye chadema.

asante mkuu! Ila tambua nimeandika kwa hisia zangu. Kama wewe umeona ni kiroja,ulikua na uhuru wa kutochangia.
 
wewe ndio kati ya wa.pu.uzi na wa.ji.nga ambao wanazidi kutuweka ndani ya mjadala wa chuki huku hatupati mwafaka. Mwanachadema mwenye kutaka mabadiliko hawezi kuandika kwa sasa utumbo wa namna hii. Kaa usubili viongozi watakuja na suruhisho gani sio kuandika andika tu.

Mkuu wanaotaka mabadiliko ndani ya CDM ni CCM na si wanachadema! Zitto ni kibaraka wa CCM anayetumiwa kama mpira wa kiume! Ukitaka kujua hili angalia vyombo vya habari vya CCM vinavyomrukuza Zitto kipenzi chao!
 
wewe ndio kati ya wa.pu.uzi na wa.ji.nga ambao wanazidi kutuweka ndani ya mjadala wa chuki huku hatupati mwafaka. Mwanachadema mwenye kutaka mabadiliko hawezi kuandika kwa sasa utumbo wa namna hii. Kaa usubili viongozi watakuja na suruhisho gani sio kuandika andika tu.

kama zito angekua na nia njema asingeangaika kwenye majukwa na kuanza kutafuta uruma kwa wapiga kula wake. Zaidi ya yote angesubilia hatima ya hukumu yake ndani ya cdm.
 

Attachments

  • Zito.gif
    Zito.gif
    20.3 KB · Views: 277
  • kigom.gif
    kigom.gif
    27.5 KB · Views: 273
  • Zuberi.jpeg
    Zuberi.jpeg
    10.4 KB · Views: 270

Hizo ndo wazee wa kale walisema mfa maji haachi kutapatapa. Unajua ukweli ukishadhihiri hakuna silaha iliyokali dhidi ya ukweli. Anachojaribu kufanya ZZK ni kuwadanganya wale wasiojua ukweli. Wahenga walisema ukishamjua adui yako ujue uko salama, Niwatake viongozi na wanachama wa CHADEMA waendelee na agenda nyingine tu maana hii tayari ni dhahiri imeshakwisha, watatumia gharama za walipa kodi kuendelea kufadhili ZZK lakini naamini ukweli utaendelea kudhihiri tu.

Kila enzi na kitabu chake, enzi za kitabu cha zzk kimeshapita sasa tuangalie mengine tu,

pamoja sana mkuu!
 
Huna cha kuongea kwa nini usikae ule mandazi na watoto kuliko kuandika vioja humu wewe nani ndani ya chadema toa kelele zako humu zitto ndiyo mwenye chadema.

Kwani umelazimishwa Kusima?
Hata iwe umeisoma kwa Bahati mbaya,ni lazima utoe comment!?
 
Wezi,wasaliti kwa nchi yao wakizidiana pace ndo hayo tunayoyaona chadema-pole mleta maada maana Inaonekana bado unakimbia kivuli cha mtazamo wako kisiasa!
 
Zitto must go kwa gharama yoyote, kumuacha ni kusema chadema ndio mwisho wake na kuthibitisha kuwa kumbe Chadema ni Zitto jambo ambalo mamiloni ya Wana chadema hatutaki kuamini ni hivyo!
 
Siku kumi na nne zimefika ama bado hazijafika?
CDM mnajichimbia sehemu ya kujifukia wenyewe.... kutokana na kujichanganya kwenu.
Mlisema Zitto hawababaishi, mbona kila kukicha mwaweweseka hadi kufikia hatua ya kuanza kuipigia chapuo gongo........
 
Wanajamvi nawatakia xmas njema na khery ya mwaka mpya.
Dhumuni la kufungu thread yangu leo,ni kuhusiana na mambo yanayoendelea kati ya zito na vingozi wake ndani ya chadema.
Kwanza kabisa naomba niwe wazi kabisa, ya kwamba mimi sivutiwi na siasa anazozifanya zito period.
Nichotaka kukushauri na kukuomba,kwanini usiondoke cdm ili utuachie chama chetu?alafu kwanza ulikwisha wai kusema utaachana na siasa! Sasa kwanini unaleta vibwanga au ndio unafanya siasa za chuki na kulipiziana visasi?
Atanaivyo nasikia kigoma inaongozwa na upinzani,tena cha kufurahisha inaonekana nccr ndiyo yenye nguvu kwa upinzani kuliko cdm. Sasa kwanini usiende huko?
Kwa style hii sisi wanachama wa chadema tunazidi kuamini wewe ni pandikizi umepandikizwa kwa malengo flani. Kwa mimi binafsi ninazidi kukuchukia kupitiliza.

Acha usenge ww,km vp hama ww kwani chama ni chadema tu? Huridhiki na hali ya chadema kwa sasa tafuta mlango wa kutokea c lazma uendele kuwepo.....
 
Wanajamvi nawatakia xmas njema na khery ya mwaka mpya.
Dhumuni la kufungu thread yangu leo,ni kuhusiana na mambo yanayoendelea kati ya zito na vingozi wake ndani ya chadema.
Kwanza kabisa naomba niwe wazi kabisa, ya kwamba mimi sivutiwi na siasa anazozifanya zito period.
Nichotaka kukushauri na kukuomba,kwanini usiondoke cdm ili utuachie chama chetu?alafu kwanza ulikwisha wai kusema utaachana na siasa! Sasa kwanini unaleta vibwanga au ndio unafanya siasa za chuki na kulipiziana visasi?
Atanaivyo nasikia kigoma inaongozwa na upinzani,tena cha kufurahisha inaonekana nccr ndiyo yenye nguvu kwa upinzani kuliko cdm. Sasa kwanini usiende huko?
Kwa style hii sisi wanachama wa chadema tunazidi kuamini wewe ni pandikizi umepandikizwa kwa malengo flani. Kwa mimi binafsi ninazidi kukuchukia kupitiliza.
Mkuu ungekua unaipenda CDM ungeishauri KK wamfukuze Zzk. Bt kumtaka aondoke ni ishara ya woga kwa Zzk.Chagueni mmoja zito ndani ya CDM ni hatari hadi Democracy ipatikane ndani ya chama.Zito akiwa nje ya chama ni hatari sana,anajua weakness ya CDM.nakumbuka ilivyokua ngumu kwa Chacha Wangwe hadi Deus alipookoa Jahazi.
 
Siku kumi na nne zimefika ama bado hazijafika?
CDM mnajichimbia sehemu ya kujifukia wenyewe.... kutokana na kujichanganya kwenu.
Mlisema Zitto hawababaishi, mbona kila kukicha mwaweweseka hadi kufikia hatua ya kuanza kuipigia chapuo gongo........


1. Siku 14 zilikuwa kwa zito

a) kuwakilisha utetezi wake au

b) zilikuwa kwaajili ya kufanya hitimisho?

Lipi jibu sahihi na kwanini?

2. Unaifahamu siku ya kujadili utetezi wa zito nilini na wapi?
 
Acha usenge ww,km vp hama ww kwani chama ni chadema tu? Huridhiki na hali ya chadema kwa sasa tafuta mlango wa kutokea c lazma uendele kuwepo.....


Matusi si uungwana hata kidogo.

Jenga hoja weka matusi pembeni tutakuelewa zaidi.
 
Zitto must go kwa gharama yoyote, kumuacha ni kusema chadema ndio mwisho wake na kuthibitisha kuwa kumbe Chadema ni Zitto jambo ambalo mamiloni ya Wana chadema hatutaki kuamini ni hivyo!

pamoja sana mkuu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom